musajohn58
Member
- Oct 28, 2014
- 34
- 8
Imetokea kwa binti mwenye ujauzito wa miezi saba mtoto akaacha tu kucheza pasipo sababu takribani siku tano sasa, ila kipindi cha nyuma alikuwa anaumwa tumbo sana akafanyiwa uchunguzi hospital ikaonekana na UTI,
Je hilo tatizo la mtoto kusimama tu kucheza huwa kunashida??
Alienda kupima ikaonekana mapigo ya mtoto yako kwa mbali sana. Sababu ya mapigo kuwa kwa mbali huwa ni nini?
Je hilo tatizo la mtoto kusimama tu kucheza huwa kunashida??
Alienda kupima ikaonekana mapigo ya mtoto yako kwa mbali sana. Sababu ya mapigo kuwa kwa mbali huwa ni nini?