Naombeni Msaada,
Mke wangu alitumia hivi vidonge vya uzazi wa mpango, baadaye akaamua kuachana navyo baada ya kusikia kuwa vina madhara yake pia.
Sasa changamoto imekuja kwenye mzunguko wa hedhi; umevurugika, Kwa mfano, kwa mara ya mwisho mzunguko ulianza tarehe 7 July 2016, halafu mzunguko mwingine ukaanza tena juzi tarehe 22 July. Sasa tumeshindwa kuelewa ni nini tatizo?
Hospitali tumeenda huko, kuna nesi akatupatia vidonge kwamba vitarekebisha huo mzunguko, kumbe vidonge vyenyewe vikaonekana ndo vile vile vya uzazi wa mpango alivyopewa mwanzoni, sikumbuki jina ila ni vidogo hivi unameza kwa kwa muda wa miezi mitatu kimoja kila siku!!
Naombeni msaada wenu wataalaam!!
Mke wangu alitumia hivi vidonge vya uzazi wa mpango, baadaye akaamua kuachana navyo baada ya kusikia kuwa vina madhara yake pia.
Sasa changamoto imekuja kwenye mzunguko wa hedhi; umevurugika, Kwa mfano, kwa mara ya mwisho mzunguko ulianza tarehe 7 July 2016, halafu mzunguko mwingine ukaanza tena juzi tarehe 22 July. Sasa tumeshindwa kuelewa ni nini tatizo?
Hospitali tumeenda huko, kuna nesi akatupatia vidonge kwamba vitarekebisha huo mzunguko, kumbe vidonge vyenyewe vikaonekana ndo vile vile vya uzazi wa mpango alivyopewa mwanzoni, sikumbuki jina ila ni vidogo hivi unameza kwa kwa muda wa miezi mitatu kimoja kila siku!!
Naombeni msaada wenu wataalaam!!