Mambo ya Ahmed na Oyite (huyu Bwa' mdogo ana sura mbaya halafu ana nyodo kinoma, Manina!)... Nishawahi pita pale nikaacha kwa sababu ya mambo yao haya haya ya kisengenyaji. Ila nawashukuru manake walinifanya nichukie kwa moyo wote hii mambo ya kuajiriwa... Jiajirini wadogo zangu, hawa Erolink tupa kule
And I wont be suprised to find out that, erolink is linked to someone AT voda, or someone who know someone AT voda....shughuli pevu. Make money, live well but everything has the beginning and the end. Humanity's most rewarding.