Cod-2
JF-Expert Member
- Jun 11, 2017
- 297
- 434
Habari wakuu.
Nimekuja kwenu kuomba msaada wa nauli ya ndege kutoka bukoba kuja dar (one way)
Ieleweke kwamba Mimi sijawai panda ndege, kuna binti nahishi naye sasa alipata ujauzito ikabidi nimpeleke Kwa mama kijijini akajifungulie kule kutoka na shughuli za mjini asingeweza pata huduma nzuri baada ya uzazi. MUNGU mwema kajifungua salama mwezi wa tano mwanzoni.
Kwa ufupi nilipanga kumkatia tiket ya ndege wakat wa kurudi huku na mtoto. Nataka arud. mwez wa 7 mwishoni,
kwahiyo nilkuwa naomba mwenye Link au anayejua nauli na namba nzima ya booking anisaidie, maana nilisikia uki-book mapema Kuna punguzo kidogo kwenye nauli.
Asante
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Nimekuja kwenu kuomba msaada wa nauli ya ndege kutoka bukoba kuja dar (one way)
Ieleweke kwamba Mimi sijawai panda ndege, kuna binti nahishi naye sasa alipata ujauzito ikabidi nimpeleke Kwa mama kijijini akajifungulie kule kutoka na shughuli za mjini asingeweza pata huduma nzuri baada ya uzazi. MUNGU mwema kajifungua salama mwezi wa tano mwanzoni.
Kwa ufupi nilipanga kumkatia tiket ya ndege wakat wa kurudi huku na mtoto. Nataka arud. mwez wa 7 mwishoni,
kwahiyo nilkuwa naomba mwenye Link au anayejua nauli na namba nzima ya booking anisaidie, maana nilisikia uki-book mapema Kuna punguzo kidogo kwenye nauli.
Asante
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app