Mwafrika mmoja
Member
- Mar 15, 2019
- 64
- 178
watafute ktk page zao yapo mawasiliano yao au fika ofisini mojakwamojaHabarini wakuu, niko hapa kuomba msaada kwa yoyote ambaye ana mtu anamfahamu anafanya kazi NSSF anaweza kuniunganisha naye.
Nina maswali mengi nataka kufahamu kabla sijaanza kufuatilia pesa zangu, yeye atakuwa ananisaidia kwenye kila hatua hadi mwisho.
Nawasilisha
Je kwa mwanachama anajiuguza kuna pesa kuweza kutatua mahitaji yake?Kama una pesa ya malipo kwa hayo maswali yako karibu kama huna tafadhali nenda ofisi iliyo karibu nawe.
Wasiliana na afisa utumishi hapo kazini kwako wanajua kila kituHabarini wakuu, niko hapa kuomba msaada kwa yoyote ambaye ana mtu anamfahamu anafanya kazi NSSF anaweza kuniunganisha naye.
Nina maswali mengi nataka kufahamu kabla sijaanza kufuatilia pesa zangu, yeye atakuwa ananisaidia kwenye kila hatua hadi mwisho.
Nawasilisha