Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,008
Bip.....Umepanic mama. I didn't offend you anywhere,Take chill pills then..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bip.....Umepanic mama. I didn't offend you anywhere,Take chill pills then..
kama ni kwa ajili ya kitu muhimu nampa ilimradi tu hiyo pesa iwepo.sasa mkuu akikwambia anataka 150 hautampa?
ahaaa poakama ni kwa ajili ya kitu muhimu nampa ilimradi tu hiyo pesa iwepo.
Hahaaaaaa wenyewe wanasema utakua mwanaume wa mkoani!NYWELE BANDIA 150,000??? MUNGU WANGU!!!
Msaada wa picha plzMm ni msusi huwa nawasuka kwa oda, nasuka kwa 45000/= nywele nunua mwenyewe na unafatwa popote ulipo
Hata na hivyo aiseeHahaaaaaa wenyewe wanasema utakua mwanaume wa mkoani!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaan yeye kuuliza ndo ushageuka mtabiri wa ndoa yake ? duh hvi kwann mpo hv !asipendeze jaman !cha! haya wewe mwenye ndoa perfect upo wapi km sio wote tupo humu tu !aolewe asiolewe unamlisha kwani! na nan kakuambia kuolewa ni dili km unavyojidanganya? hujaona huko kuna wanawake hawajaolewa wana status zao nzuri tu !grow up