Msaada kuhusu Pikipiki

Msaada kuhusu Pikipiki

Hamis Zmc

Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
48
Reaction score
27
Guys Naitaji kununua pikipiki kwa ajili ya bodaboda, sitakua naendesha Mimi nitamkabidhi MTU kwa ajili hiyo, je ni pikipiki IPI nzuri, imara? Affordable cost (Mimi sio mzoefu sana )
 
Guys Naitaji kununua pikipiki kwa ajili ya bodaboda, sitakua naendesha Mimi nitamkabidhi MTU kwa ajili hiyo, je ni pikipiki IPI nzuri, imara? Affordable cost (Mimi sio mzoefu sana )
TVS HLX125 ndio habar ya mjini
 
Boxer 150(toleo la zaman) ndio pkpk tvs hakuna pkpk pale
boxer bm150 ni nzur ikiwa mpya tu ila ikianza kutoa moshi na ukaifungua kubadili ringpiston ndio umeizika na haiji kuka sawa hata ufanye vp zaidi ni kupoteza pesa tu bila matokeo mazur/NINAZO MBILI ZOTE NIMEZI PARK NDANI NIMETUMIA PESA MPAKA NIKASEMA POO
 
Chukua haojue zile za zaman kidogo hutajuta, ambazo zimekaa kama sanlg n.k achana hizi zenye muundo wa tvs,boxer n.k. hutojuta mkuu nilitumia saana wakat nafanya biashara hizo.
 
Mkuu nahitaji aina hii ya Honda cgl 125 brand new nitazipata wapi?
Nmeendesha Honda CGL 125 na boxer 150. Hii Honda ina kama miaka 10 ila bado nzima kabisa ila hii boxer imezeeka ingawa ina kama miaka 4 tu.
Naunga mkono pikipiki ni za mjapan
 
boxer bm150 ni nzur ikiwa mpya tu ila ikianza kutoa moshi na ukaifungua kubadili ringpiston ndio umeizika na haiji kuka sawa hata ufanye vp zaidi ni kupoteza pesa tu bila matokeo mazur/NINAZO MBILI ZOTE NIMEZI PARK NDANI NIMETUMIA PESA MPAKA NIKASEMA POO
Hauziuzi??
 
Back
Top Bottom