king Chuga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 510
- 52
Naomba kujua kama Transcript huwa zinakua na picture. ??
Nilimalza chuo huko dar es salaam. Na nlpotaka kuhama nlipewa Transcript nzuri lakn haina picture yangu. Ningependa kujua kama zinakubalika wakati wa kuhamia vyuo vingine.
Nilimalza chuo huko dar es salaam. Na nlpotaka kuhama nlipewa Transcript nzuri lakn haina picture yangu. Ningependa kujua kama zinakubalika wakati wa kuhamia vyuo vingine.