Msaada kuhusu ramani ya mipango miji

Msaada kuhusu ramani ya mipango miji

JMF

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2013
Posts
1,758
Reaction score
2,770
Salaam wana jukwaa,
Kuna eneo(kiwanja) nahitaji kununua sehemu. Ila ni kama kuna utata kuwa ni kwaajili ya makazi au biashara au yamkini ni eneo la serikali kwasababu kipo karibu na eneo la soko. Hivyo nikaona ni bora nitafute taarifa za eneo husika nisijekuingia mkenge.
Nawezaje kupata taarifa sahihi? Nimefuatilia hadi ofisi za kata lakini ni kama wananena kwa lugha tofauti. Wapo wanaosema ni kwaajili ya makazi, biashara, ni eneo lililotengwa kwaajili ya upanuzi wa soko na wakazi waliopo wanawezalipwa fidia waondoke. Wapo wanaosema upanuzi wa soko haufiki huko hivyo nikaona nililete hapa kwa msaada zaidi na ushauri
 
Mkuu habari? Hapo unapaswa uwashirikishe watu wa manispaa kama unaweza kupata Surveyor ili akachukue coordinate katika hilo eneo,
Kisha apeleke kwa town planner aingize kwenye system then watakuambia hilo eneo liko namna gani

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Salaam wana jukwaa,
Kuna eneo(kiwanja) nahitaji kununua sehemu. Ila ni kama kuna utata kuwa ni kwaajili ya makazi au biashara au yamkini ni eneo la serikali kwasababu kipo karibu na eneo la soko. Hivyo nikaona ni bora nitafute taarifa za eneo husika nisijekuingia mkenge.
Nawezaje kupata taarifa sahihi? Nimefuatilia hadi ofisi za kata lakini ni kama wananena kwa lugha tofauti. Wapo wanaosema ni kwaajili ya makazi, biashara, ni eneo lililotengwa kwaajili ya upanuzi wa soko na wakazi waliopo wanawezalipwa fidia waondoke. Wapo wanaosema upanuzi wa soko haufiki huko hivyo nikaona nililete hapa kwa msaada zaidi na ushauri
Zingatia ushauri huo hapo juu

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Nenda halmashauri/manispaa uliyopo,ingia ofisi ya mipango miji na uwashirikishe,ukitaka mambo yaende haraka wapatie usafiri wafike 'site' na wao wataangalia kwenye point zao ili wakupe majibu ya uhakika.
 
Salaam wana jukwaa,
Kuna eneo(kiwanja) nahitaji kununua sehemu. Ila ni kama kuna utata kuwa ni kwaajili ya makazi au biashara au yamkini ni eneo la serikali kwasababu kipo karibu na eneo la soko. Hivyo nikaona ni bora nitafute taarifa za eneo husika nisijekuingia mkenge.
Nawezaje kupata taarifa sahihi? Nimefuatilia hadi ofisi za kata lakini ni kama wananena kwa lugha tofauti. Wapo wanaosema ni kwaajili ya makazi, biashara, ni eneo lililotengwa kwaajili ya upanuzi wa soko na wakazi waliopo wanawezalipwa fidia waondoke. Wapo wanaosema upanuzi wa soko haufiki huko hivyo nikaona nililete hapa kwa msaada zaidi na ushauri
Habari yako chief,Hili zoezi ulilifanikisha?
 
Nenda halmashauri/manispaa uliyopo,ingia ofisi ya mipango miji na uwashirikishe,ukitaka mambo yaende haraka wapatie usafiri wafike 'site' na wao wataangalia kwenye point zao ili wakupe majibu ya uhakika.
Habari chief,Je hili zoezi malipo yake yatatakiwa kufanyika kwa control number za serekali yani ni huduma rasmi ya serekali au ni ujanja ujanja tu wa hawa watu wa mipango miji.Na baada ya wao kukamilishia hili zoezi la kuchukua coordinates za eneo Mimi nitapewa nyaraka zipi zitazo kuja kunilinda huko mbeleni kua nilifanya hii offical search ya eneo kwa kuwatumia wao na kuthibitishiwa matumizi serikali iliyo panga juu ya eneo husika.........Maana siku hizi mambo ya utapeli yamepamba moto
 
Zingatia ushauri huo hapo juu

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app

Zingatia ushauri huo hapo juu

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Habari chief,Je hili zoezi malipo yake yatatakiwa kufanyika kwa control number za serekali yani ni huduma rasmi ya serekali au ni ujanja ujanja tu wa hawa watu wa mipango miji.Na baada ya wao kukamilishia hili zoezi la kuchukua coordinates za eneo Mimi nitapewa nyaraka zipi zitazo kuja kunilinda huko mbeleni kua nilifanya hii offical search ya eneo kwa kuwatumia wao na kuthibitishiwa matumizi serikali iliyo panga juu ya eneo husika.........Maana siku hizi mambo ya utapeli yamepamba moto
 
Habari chief,Je hili zoezi malipo yake yatatakiwa kufanyika kwa control number za serekali yani ni huduma rasmi ya serekali au ni ujanja ujanja tu wa hawa watu wa mipango miji.Na baada ya wao kukamilishia hili zoezi la kuchukua coordinates za eneo Mimi nitapewa nyaraka zipi zitazo kuja kunilinda huko mbeleni kua nilifanya hii offical search ya eneo kwa kuwatumia wao na kuthibitishiwa matumizi serikali iliyo panga juu ya eneo husika.........Maana siku hizi mambo ya utapeli yamepamba moto
Siyo kitu cha kuogopa na usiendekeze kuweka rushwa mbele,,,wewe fika ofisi mipango miji,,waombe Block plan ya eneo husika
Malipo kwa Control number,hayazidi alfu 20...
 
Back
Top Bottom