Msaada kuhusu rangi nzuri ya picha kwenye hisense Tv vidaa

Msaada kuhusu rangi nzuri ya picha kwenye hisense Tv vidaa

Gudasta

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2011
Posts
501
Reaction score
788
Ndugu wana jamvi kama thread inavyojieleza,
Naomba mdau ambaye anatumia au ameishawahi kutumia tv aina hii, naomba aniambie mchanganyiko mzuri wa rangi
ili niweze kupata picha nzuri katika hisense vidaa 55''
Naomba mchanganyiko wa rangi, kwa mfano
Picture mode nichague ipi kati ya hizi-Standard, Dynamic,Natural,Theatre
Brighteness niweke namba gani ? mfano 47,48, 50 nk
Contrast niweke namba ngapi?
Color niweke namba ngapi?
Backlist niweke on au off?
Advanced picture setting niset vp?

Natanguliza shukrani kwa yeyote atakae nisaidia kwenye hili.
 
Hizo Tv za hiyo kampuni ukishakaaa nayo baada ya muda inaanza kupoteza ubora.
 
Hivi mkuu ubora wa TV huwa unapimwa kwa kitu gani?
Kikubwa kabisa quality ya kioo, mengine ni ziada tu.

Una Angalia
-tech ya kioo kama ni led, lcd, plasma, Qled, oled, mini led, micro led etc
-resolution ya kioo kama ni HD, full HD, 4k, 8k etc
-tech za ziada kama HDR 10, HDR ya kawaida, Dolby vision etc.
 
Kikubwa kabisa quality ya kioo, mengine ni ziada tu.

Una Angalia
-tech ya kioo kama ni led, lcd, plasma, Qled, oled, mini led, micro led etc
-resolution ya kioo kama ni HD, full HD, 4k, 8k etc
-tech za ziada kama HDR 10, HDR ya kawaida, Dolby vision etc.
Shukrani mkuu.Vipi kuhusu yale mambo ya refreshing rate?
 
Hakuna mdau aliejib vizuri hii ishu maana hata mm nina tatz hili nilitamami saana nipate msaada hapa.
Mkuu inapimwa na macho yako,mfano brightess inatofautiana na uwezo wa mtu kuona, mwingine huona vyema kwenye mwanga hafifu,mwingine mkali
 
Back
Top Bottom