raiswenu
JF-Expert Member
- Apr 20, 2018
- 848
- 1,535
Nimeomba kurudishiwa kiasi cha pesa ambacho loan board walikata kimakosa, nimefuata hatua zote, baada ya kuconferm nimegundua account namba nimeikosea na hakuna option ya kuedit,
Nimejaribu kupiga namba zao hazipatikani, nimejaribu ku click kwenye ile option ya online help lakini pia hairespond.
Naomba msaada kwa yoyote anayejua namna ya kutatua hili.
Nimejaribu kupiga namba zao hazipatikani, nimejaribu ku click kwenye ile option ya online help lakini pia hairespond.
Naomba msaada kwa yoyote anayejua namna ya kutatua hili.