Mkuu kama nitakuwa na mimi nimeisoma vyema section hii (43) ni pale tu ambapo employer anaterminate contract ya employee. Na hii inaonekana ukisoma kwa utulivu wake section yote uliyoitaja hapo juu ambayo na mimi nainukuu hapa chini.
43.-(1) Where an employee's contract of employment is terminated
at a place other than where the employee was recruited, the employer
shall either-
(a) transport of the employee and his personal effects to the
place of recruitment,
(b) pay for the transportation of the employee to the place of
recruitment, or
(c) pay the employee an allowance for transportation to the
place of recruitment in accordance with subsection (2) and
daily subsistence expenses during the period, if any,
between the date of termination of the contract and the date
of transporting the employee and his family to the place of
recruitment.
Angalizo: Naomba nikushirikishe pia kipengele cha 73 cha sheria za mikataba kwa Tanzania ambayo inasema ni yule tu aliyedhurika na uvunjaji wa mkataba ndio mwenye haki ya kudai fidia kutokana na mvunjiko huo. Kwa hiyo huwezi kuvunja mkataba kisha ukadai usafiri wa vyombo vyako kurudishwa kule ulikotoka kwani utakuwa umemsababishia madhara mwajiri. Tafadhali pitia hapo chini nukuu ya sheria ya mikataba.
Compensation
for loss or
damage caused
by breach of
contract, etc.73.-(1) When a contract has been broken, the party who suffers by such
breach is entitled to receive, from the party who has broken the contract,
compensation for any loss or damage caused to him thereby, which naturally
arose in the usual course of things from such breach, or which the parties
knew, when they made the contract, to be likely to result from the breach of it
Kwa uelewa wangu mkuu naomba niishie hapo huku nikiamini kuwa kuna wadau wengine watakupa mifano zaidi .
Let me be in the same pool but in a different pond. Mosi, Je kama mtumshi ana ndoa ya kimila, mwajiri atathibitisha vipi ili aweze kumpa mke/mme wa mwajiriwa stahili zake kama vile nauli ya likizo n.k? Pili, Je ni sahihi kwamba mtumishi akilipwa nauli ya likizo mwaka huu, mwaka unaofuata hapaswi kulipwa? Tatu, Mtumishi anaposafiri safari ndefu ambayo inabidi kulala njiani anapaswa kulipwa posho ya kujikimu? Mwisho mwajiri anamlipia nauli mtumishi kwenda place of domicile, recruitment au popote mtumishi anakotaka kwenda wakati huo?
naomba ufafanuzi wakuu
What kind of a job that has such a generous benefits package like that? They pay for your fare to go on vacation? Damn! You must have it so good if that's the case.
Let me be in the same pool but in a different pond. Mosi, Je kama mtumshi ana ndoa ya kimila, mwajiri atathibitisha vipi ili aweze kumpa mke/mme wa mwajiriwa stahili zake kama vile nauli ya likizo n.k? Pili, Je ni sahihi kwamba mtumishi akilipwa nauli ya likizo mwaka huu, mwaka unaofuata hapaswi kulipwa? Tatu, Mtumishi anaposafiri safari ndefu ambayo inabidi kulala njiani anapaswa kulipwa posho ya kujikimu? Mwisho mwajiri anamlipia nauli mtumishi kwenda place of domicile, recruitment au popote mtumishi anakotaka kwenda wakati huo?
naomba ufafanuzi wakuu
mbona kawaida mwajiri kulipa nauli ya likizo, wapi huko ambako hawalipi?
Mimi sijawahi sikia hii. Sasa mshahara unaolipwa wa nini kama na nauli ya kwenda kwenu wanakulipia?
Swali la pili na la tatu yanategemea mkataba wa ajira unasemaje. At the end of the day it will depend on what you negotiated for when entering into the contract of employment. Kuhusiana na swali la kwanza sio mwajiri bali ni mwajiriwa ndiye anayetakiwa kudhibitisha kuwa uhusiano ni ule wa ume na mke. Ndoa ya zilizofungwa kwa kufuta mila na desturi za Tanzania kabla na baada na baada ya mwaka 1971 zinatambuliwa kisheria.
Mkuu nisaidie, huo uthibitisho uweje. kutoka kwa hakimu, mkuu wa wilaya, mwanasheria yeyote au kwa watu wengine ambao si wanasheria
Wakuu hapa sioni cha kubishania. Ni kweli kwamba unaweza kulipwa mshahara na pesa ya likizo ndio maana kuna paid leave yaani likizo yenye malipo. Sheria ya ajira na mahusiano bora kazini imelenga kuleta amani makazini kwa kuweka bayana makubaliano kati ya mwajiri na mwajiriwa na unapoajiriwa haimaanishi wewe tu ndio una shida ya pesa kwani hata mwajiri pia ana shida ya nguvu au akili yako na ndio maana akitumia nguvu yako au akili yako inatakiwa akulipe. Kwa huyo anayeshangaa mtu kulipwa mshahara na posho ya likizo atasemaje kuona watuhumiwa wa mauaji ya kimbali wanavyowekwa katika mazingira mazuri na UN wakati wameua watu. Haki za binadamu zikiheshimiwa unaweza kuona kuwa kupewa kazi ya kufanya sio favour ni haki ya kikatiba
Sasa unaenda zako likizo halafu eti mwajiri wako anakulipia nauli ya kwenda huko unakoenda, WTF!! Nahisi labda tunazungumzia labor laws za nchi tofauti kabisa. Mwisho wa siku ni uamuzi wa mwajiri na sheria za hiyo nchi zinasemaje kuhusiana na hayo mambo ya vacation/ paid time off na kadhalika.
Mkuu yote yanategemeana na mkataba wa kazi unasemaje. Wapo wanaojua kunegotiate mikataba yao mpaka wanalipiwa na nauli za kwenda likizo. Kama umekubaliana na mwajiri kuwa atakuwa anakulipa nauli ya kwenda likizo halafu asikulipe then, the law will not protect the employer simply because they have breached the contract. And the employee can sue the employer for breach of contract and ask for damages. Kwa hiyo mwisho wa siku sio uamuzi wa mwajiri bali ni jinsi mkataba wa ajira unavyosema ambao utaangaliwa in accordance with the relevant applicable law. Unless sheria za nchi husika zinapiga marufuku waajiri/waajiriwa kunegotiate kwenye mikataba yao ya kazi kulipa/kulipwa nauli za kwenda likizo, then sioni tatizo la vitu kama hivi kuwepo. Pia wapo waajiri ambao tayari wana scheme kama hizo. Tena wengine wana schemes sio tuu za kuwapa waajiriwa nauli za kwenda kwenda likizo tuu bali pia hata ada za shule za watoto zinalipiwa na mwajiri.
Hivi kila ajira bongo ni ya mkataba?