Mkuu kama nitakuwa na mimi nimeisoma vyema section hii (43) ni pale tu ambapo employer anaterminate contract ya employee. Na hii inaonekana ukisoma kwa utulivu wake section yote uliyoitaja hapo juu ambayo na mimi nainukuu hapa chini.
43.
-(1) Where an employee's contract of employment is terminated
at a place other than where the employee was recruited, the employer
shall either-
(a) transport of the employee and his personal effects to the
place of recruitment,
(b) pay for the transportation of the employee to the place of
recruitment, or
(c) pay the employee an allowance for transportation to the
place of recruitment in accordance with subsection (2) and
daily subsistence expenses during the period, if any,
between the date of termination of the contract and the date
of transporting the employee and his family to the place of
recruitment.
Angalizo: Naomba nikushirikishe pia kipengele cha 73 cha sheria za mikataba kwa Tanzania ambayo inasema ni yule tu aliyedhurika na uvunjaji wa mkataba ndio mwenye haki ya kudai fidia kutokana na mvunjiko huo. Kwa hiyo huwezi kuvunja mkataba kisha ukadai usafiri wa vyombo vyako kurudishwa kule ulikotoka kwani utakuwa umemsababishia madhara mwajiri. Tafadhali pitia hapo chini nukuu ya sheria ya mikataba.
Compensation
for loss or
damage caused
by breach of
contract, etc.
73
.-(1) When a contract has been broken, the party who suffers by such
breach is entitled to receive, from the party who has broken the contract,
compensation for any loss or damage caused to him thereby, which naturally
arose in the usual course of things from such breach, or which the parties
knew, when they made the contract, to be likely to result from the breach of it
Kwa uelewa wangu mkuu naomba niishie hapo huku nikiamini kuwa kuna wadau wengine watakupa mifano zaidi .