Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Naomba kufahamishwa shughuli za shirika hili hasa katika mambo ya fedha na namna ya kuweka fedha na kupata faida.
Maana katika hali ya Sasa utapeli umekuwa ni mkubwa Sana hivyo ni bora kupata a,b,c,d kuhusu shirika hili kabla mtu hauja ingia kichwa kichwa kuweka fedha na mwisho ukaliwa kichwa uku ukiwa na malengo ya kupata faida.
Maana katika hali ya Sasa utapeli umekuwa ni mkubwa Sana hivyo ni bora kupata a,b,c,d kuhusu shirika hili kabla mtu hauja ingia kichwa kichwa kuweka fedha na mwisho ukaliwa kichwa uku ukiwa na malengo ya kupata faida.