thedaydreamer
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 372
- 88
ipo mtaani hapa napokaa, siku hz wanamabomba ya maji siwaoni tena wakizunga mtaani kutafuta maji, huwa wanatoka sanasana kwenda msikitini tu, ni shule nzuri ingawa changamoto kwa shule za govt haziwezikuisha, ufaulu unaridhisha ipo manispaa, Karibuni