thedaydreamer
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 372
- 88
hata mm mdogo kachaguliwa iyo shule bt hata siijui wala na wala siwashauri m2 ampeleke mdgo wake labda iwe sbb ya kifedha maana gov skul r cheaper....
Sas km hauijui utatoaj ushaur wa kuwakataz wa2 wacpelek watot wao?
ipo mtaani hapa napokaa, siku hz wanamabomba ya maji siwaoni tena wakizunga mtaani kutafuta maji, huwa wanatoka sanasana kwenda msikitini tu, ni shule nzuri ingawa changamoto kwa shule za govt haziwezikuisha, ufaulu unaridhisha ipo manispaa, Karibuni
thedaydreamer
Tusaidie namna kupata joining instruction form ya shule ya Songe au contacts(no. ya simu).
thedaydreamer upo kariakoo au kidatu????
sasa hivi wapo likizo sijui kama kuna mwalimu atakuwepo pale, ila nitajaribu kupita niulizie.
Nakuomba upite hapo tunahitaji msaada wako. Tupo mbali na fomu ya kujiunga inaweza kuchelewa.
sijajua upo wapi manake wanasema kuna utaratibu wanao kama kwa wanaotoka arusha wanaenda usa river kwa veronica zackaria, kama haupo hapo muulizie mwenye hii namba 0754206115 ni mwl hapo alienielekeza hivyo.
Hapo nimepatikana. Mi nikajua muuliza swali umekosea kwa kuandika songe. Sorry for that.
Naona kuna shule nyingi sana siku hizi.
Asante sana kwa msaada wako nimefanikiwa.sijajua upo wapi manake wanasema kuna utaratibu wanao kama kwa wanaotoka arusha wanaenda usa river kwa veronica zackaria, kama haupo hapo muulizie mwenye hii namba 0754206115 ni mwl hapo alienielekeza hivyo.