Msaada kuhusu status ya HESLB

PSEUDOPODIA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2020
Posts
392
Reaction score
798
Wadau naombeni ushauri wenu, ikiwa status ya HESLB ina onyesha hivi, je unatakiwa u upload passport size picha au laah, maana kuna mdau kaniambia kwamba hautakiwi u upload picha, hiyo sehemu ni wao wenyewe wata upload, ushauri tafadhali kwa wenye kujua kuhusu hili.


 
Mimi pia nakushauri uache, wata upload wenyewe muda ukifika. Hii ni kwa sababu picha ya muombaji wa mkopo wanayo tayari.
 
msahada guys account yangu imebadilika na kuwa kama hivo je ? mkopo nimepata au inamanisha nn
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-25-10-48-31-869_com.android.chrome.jpg
    123.6 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…