Msaada kuhusu TaESA

Sensei Tai

Senior Member
Joined
May 26, 2022
Posts
168
Reaction score
466
Habari

Nimetumiwa email hiiyo hapo chini na TaESA sasa sijajua wana maana gani kwamba nitaitwa kwaajiri ya training very soon au ni email ya kawaida ambapo kila anaekamilisha usajiri anatumiwa ?

Naomba wenye uzoefu au ambao walishapata sehemu za kujishikiza kupitia TaESA wanifumbue macho
 

Attachments

  • Screenshot_20221123-160439_1.jpg
    22.9 KB · Views: 89
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…