Msaada kuhusu taratibu za uhamisho.

Msaada kuhusu taratibu za uhamisho.

THE RIGHT

Member
Joined
Jan 2, 2012
Posts
57
Reaction score
3
Naomba kusaidiwa mlolongo na taratibu za uhamisho kwa shule za a-level, nina Dogo anasoma tarakea kidato cha tano lakini mazingira ya baridi yamemshinda na ninatarajia kufanya taratibu za kumhamisha ila sifahamu pa kuanzia. Na tumaini msaada wako ni wa mhimu sana kwangu.
 
Back
Top Bottom