Habari zenu wanajf
naomba mwenye kujua hili anieleweshe ni hivi:
Nina mdogo wangu amepanga kuunganisha kusoma degree mwaka huu,yeye amemaliza diploma mwezi wa saba matokeo yao yanategemea kutoka wiki iyayo sasa alitegemea kuaply kupitia tcu(cas) na deadline mwezi wa 8 tarehe 15,lakin tumepata sitofahamu nacte deadline tarehe 18 mwezi 7 inamaana ijumaa
napenda kujua
1.yeye anapaswa kuaply kupitia nacte au tcu?
2.je na kama wanategemeana mbona tacte wanawahi kufunga application?
3.anaweza kusubili matokeao yake then akaaply tcu ambapo deadline itakuwa bado?
Msaada mwenye kufahamu hili tafadhari
naomba mwenye kujua hili anieleweshe ni hivi:
Nina mdogo wangu amepanga kuunganisha kusoma degree mwaka huu,yeye amemaliza diploma mwezi wa saba matokeo yao yanategemea kutoka wiki iyayo sasa alitegemea kuaply kupitia tcu(cas) na deadline mwezi wa 8 tarehe 15,lakin tumepata sitofahamu nacte deadline tarehe 18 mwezi 7 inamaana ijumaa
napenda kujua
1.yeye anapaswa kuaply kupitia nacte au tcu?
2.je na kama wanategemeana mbona tacte wanawahi kufunga application?
3.anaweza kusubili matokeao yake then akaaply tcu ambapo deadline itakuwa bado?
Msaada mwenye kufahamu hili tafadhari