mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 313
Mbona muda mrefu sana huo? Hapo miezi miwili tosha kabisaLugha yako ya kisanii sana. Lakini hiyo mpe mapumziko japo ya miezi mitano au sita hivi. Una haraka gani?
Miezi unaendelea kupiga michepukoLugha yako ya kisanii sana. Lakini hiyo mpe mapumziko japo ya miezi mitano au sita hivi. Una haraka gani?
Una maneno ya busara sanaNi bora muende hospitali akaangaliwe kama yuko fit kurejea na hilo tendo. Asiwe na papara na ajali afya yake kwanza.
Kwan akimshika mtoto inakuaje?Wiki 6 (siku 42) la muhimu usafi tu mkimaliza ni kuoga Kabla ya kumshika mtoto
kwani nyuzi zimeshapoka kaka unataka uanze kuzifumua mapema hivi? wenzako majira kama haya hata hamu huwa inaondoka tunamuwaza mtoto tu ambaye ni mgeni mpya kwenye familia. mbunye hiyo tutaanza kuiwaza baada ya siku 90 (three months) apo mama anakuwa ameshakauka, hakuna damu tena na vidonda vimepona walau. subiri walau siku 100 mwenzako apone, walau ile bleed ikianza (ambayo wakati mwingine hadi miezi miwili haiji) ndio muanza kuingiza walau kichwa tu. ukifanya mchezo kizazi kiko wazi hapo atapata mimba wakati huyo kichanga ana miezi mitatu tu. kuwa na subira pia uwe na huruma na mwenzako.Wangwana kuna rafiki yangubkaniuliza suali hili:-
Mke wake amejiifungua kwa kawaida ila njia ilikia ndogo akaongweza na akashonwa vitango 7.
Hadi sasa ni siku ya 20 mwanamke alizuiya damu siku ya 5 baada ya kujifungua sasa anataka kurudi kwake.
Jeee akirudi kwake na kila mtu atakua na ukame jeeee hiii papuchi itakua salama kumeza mgegedo?
Na akichuchumaliwa wakati wa kula ipande cha mwili mshono hautikuja kuachia?
Natanguliza shukrani.
Zamani ilikuwa mke anakwenda kujifungulia kwa wakwe zake na anakaa huko mpaka mtoto afikishe miezi mitatu/minne mlifikiri walikuwa wajinga? Ukiona huwezi kustaamili ukishajifungua kabla hujarudi nyumbani muombe nurse ushauri wa family planning.kwani nyuzi zimeshapoka kaka unataka uanze kuzifumua mapema hivi? wenzako majira kama haya hata hamu huwa inaondoka tunamuwaza mtoto tu ambaye ni mgeni mpya kwenye familia. mbunye hiyo tutaanza kuiwaza baada ya siku 90 (three months) apo mama anakuwa ameshakauka, hakuna damu tena na vidonda vimepona walau. subiri walau siku 100 mwenzako apone, walau ile bleed ikianza (ambayo wakati mwingine hadi miezi miwili haiji) ndio muanza kuingiza walau kichwa tu. ukifanya mchezo kizazi kiko wazi hapo atapata mimba wakati huyo kichanga ana miezi mitatu tu. kuwa na subira pia uwe na huruma na mwenzako.
Maaaama wee he yani ndio mambo hata ya kuuliza hayo huo mzingo nakuambia ausubule mbona unataks kuua wewe!!Wangwana kuna rafiki yangubkaniuliza suali hili:-
Mke wake amejiifungua kwa kawaida ila njia ilikia ndogo akaongweza na akashonwa vitango 7.
Hadi sasa ni siku ya 20 mwanamke alizuiya damu siku ya 5 baada ya kujifungua sasa anataka kurudi kwake.
Jeee akirudi kwake na kila mtu atakua na ukame jeeee hiii papuchi itakua salama kumeza mgegedo?
Na akichuchumaliwa wakati wa kula ipande cha mwili mshono hautikuja kuachia?
Natanguliza shukrani.