Siku saba tu ,kwa hiyo hizo zingine alale tu!!!.Haiwezekani siku zote ni kazi tu isipokuwa za mp tu. Na mimba lazima itashika tu kwa sababu siku zote ni kazi tu.Hahhaha sawa mkuu ngoja nimpe taarifa kwa hiyo ni almost siku 7 zote nizakupiga mzigo tuu
Mkuu jiongeze huyu mwenye thread ndio huyo mwenye mkeMke wake ameanza hedhi tarehe 31/12/2017 mmhh mkuu mpaka siku za hedhi ya mkewe huyo rafiki yako anakwambia?. Siwezi kumwambia rafiki yangu mambo hayo labda awe daktari
kisandu mwingine huyu?Kama kawa kama dawa. Pita ndani ujipatie simu ya kijanja yenye watsap fesibuku na twita kwa garama ya elufu kumi na ine tu. Karibuni sana wateja
Simu zetu ni toleo jipya la mwaka 2018
Anajificha mara mbili.Changamoto hii anayoitafutia majawabu haimuhusu mke wa rafiki yake bali mke wa mtoa mada mwenyewe........... Anajaribu tu kujificha nyuma ya kivuli chake mwenyewe
fichua mkuu. Na id fake huyoKwa jinsi unavyokimbia kivuli chako, hata hiyo mimba mtabaki kuisikia kwa majirani tu.
Yani pamoja na Id fake bado unataka kujificha zaidi kwenye matatizo yako. Endelea
Hapanakisandu mwingine huyu?
Kama kawa kama dawa. Pita ndani ujipatie simu ya kijanja yenye watsap fesibuku na twita kwa garama ya elufu kumi na ine tu. Karibuni sana watejakisandu mwingine huyu?
Duh sina cha kuongeza nacheka mwenyewe kama chizi.....!Kama kawa kama dawa. Pita ndani ujipatie simu ya kijanja yenye watsap fesibuku na twita kwa garama ya elufu kumi na ine tu. Karibuni sana wateja
Simu zetu ni toleo jipya la mwaka 2018
Mkuu inaonekana shughur zako za kila Siku unafanyia kkoo maana si kwa kukalili hukuKama kawa kama dawa. Pita ndani ujipatie simu ya kijanja yenye watsap fesibuku na twita kwa garama ya elufu kumi na ine tu. Karibuni sana wateja
Simu zetu ni toleo jipya la mwaka 2018
Ulijuaje kaka. Sisi ndio tunaongoza kwa kuchangia pato la taifa.Mkuu inaonekana shughur zako za kila Siku unafanyia kkoo maana si kwa kukalili huku