lucky sabasaba
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,656
- 1,204
Tatizo jingine tulilonalo ni ubabaishaji kwenye kodi zetu leo utaagiza hiki kodi utatoa hii kesho utaagiza kilekile kodi inakuwa tofauti sana,kuna mwaka niliagiza gari tax ikaja 4.6ml nakumbuka nilikwenda pale Tra karibia na central police ghorofa la kwanza kuna ofisi imeandikwa Vehicle ....niliongea na yule mzee nilishangaa alinipunguzia almost 1.5ml!!!system yetu ya kodi haieleweki