Kwanini asiende hapo hostel akauliza wahusika? Usomi Gani huu usiokuwa na uelewa? Kama anaishi Mabibo hostel maana yake anapita Kijazi interchange Kila akienda udsm,ni umbali Gani toka kijaz inter.hadi hostel za Ubungo.Haya siku hizi Kuna simu ,hata hiyo kashindwa? Elimu Gani hii ya kipumbavu!Kwa nini wasomi tunapenda hearsay?? Kwa nini utafute majibu humu wakati wahusika wa hostel wenyewe wapo??
Fuata njia sahihi kupata majibu.
Mimi nimemshangaa. BTW unaweza kuta hata sio mwanafunzi bali ni mchangamsha genge tuKwanini asiende hapo hostel akauliza wahusika? Usomi Gani huu usiokuwa na uelewa? Kama anaishi Mabibo hostel maana yake anapita Kijazi interchange Kila akienda udsm,ni umbali Gani toka kijaz inter.hadi hostel za Ubungo.Haya siku hizi Kuna simu ,hata hiyo kashindwa? Elimu Gani hii ya kipumbavu!
TA ya Tutorial Assistants au?Zile Ni za TA mkuu sio za yeyote anayesoma pale
Sio mbaya, tunahitaji maisha rahisiMasters unakaa hostel duh[emoji28]
Kwani hostel za DUCE taratibu zao zikojeMasters unakaa hostel duh[emoji28]
Duce kupata sidhan watu wengi kuhus masters fatilia kwa uomgozi husika
nakuona mzee wa Msoga hatuonan majukwaanDuce kupata sidhan watu wengi kuhus masters fatilia kwa uomgozi husika
Nmekimbia mkuu Siunajua DP World Tena wananifosi nitie neno Mimi sitaki Sharinakuona mzee wa Msoga hatuonan majukwaan
Sipo Dar, kuna kijana anategemea kwenda kuanzaKwanini asiende hapo hostel akauliza wahusika? Usomi Gani huu usiokuwa na uelewa? Kama anaishi Mabibo hostel maana yake anapita Kijazi interchange Kila akienda udsm,ni umbali Gani toka kijaz inter.hadi hostel za Ubungo.Haya siku hizi Kuna simu ,hata hiyo kashindwa? Elimu Gani hii ya kipumbavu!