nina sato mkuu wa mbegu ukijenga tuwasiliane nina mtaalamu mmoja nitakuunganisha nae ni pm
Nenda JKT wana wataalam wa hiyo kitu au chuo cha uvuvi Mbegani Bagamoyo.Au tembelea wale jamaa wanaofuga pale Miembe saba Kibaha Kongowe.
hapa dar wako wapi nami nawatafuta.