deejaywillzz
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 637
- 224
Habari wakuu, naomba tusaidiane ni jinsi gani ya kufungua Kampuni ambayo itakuwa na vikampuni vidogo dogo ndani yake kama ilivyo Bakhersa Company Group, ndani ina Azam TV, Azam FC, Azam Marine na vingine.
Na pia ni nini faida zake na hasara zake
Na pia ni nini faida zake na hasara zake