ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
WanaJF,
Kabla sijaajiriwa kazini nilifanikiwa kujenga Pagara (Nyumba haijaezekwa). Sasa napokea Sh. 405000/= kwa mwezi. Nimeshindwa namna ya kujibana ili nimalizie Nyumba yangu.
Msaada wa mawazo jamani..Bado naendelea kuwaomba ushauri Mimi wanajf ndiyo washauri wangu.
Kabla sijaajiriwa kazini nilifanikiwa kujenga Pagara (Nyumba haijaezekwa). Sasa napokea Sh. 405000/= kwa mwezi. Nimeshindwa namna ya kujibana ili nimalizie Nyumba yangu.
Msaada wa mawazo jamani..Bado naendelea kuwaomba ushauri Mimi wanajf ndiyo washauri wangu.