- Thread starter
- #21
asante mkuu, nasubiriNitakutumia namba za simu za wenyeji wa huko mkuu,watakusaidia!Nina watu huko nafahamiana nao hivyo ondoa shaka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asante mkuu, nasubiriNitakutumia namba za simu za wenyeji wa huko mkuu,watakusaidia!Nina watu huko nafahamiana nao hivyo ondoa shaka!
Nitakutumia namba za simu za wenyeji wa huko mkuu,watakusaidia!Nina watu huko nafahamiana nao hivyo ondoa shaka!
Ukihitaji mashamba ya kukodi ukanda huu jaribu kunitafuta mimi. Nina wenyeji mzuri huku.mkuu mambo vipi. na mimi naomba msaada wa namba za hawa wadau nahitaji shamba la kukodi maeneo haya.
natanguliza shukrani mkuu.
Naomba unitumie namba yako kwa pmUkihitaji mashamba ya kukodi ukanda huu jaribu kunitafuta mimi. Nina wenyeji mzuri huku.
naomba namba yako pmUkihitaji mashamba ya kukodi ukanda huu jaribu kunitafuta mimi. Nina wenyeji mzuri huku.
Wilaya ya Turiani mkuu,vipi?Mkoa wa Morogoro ni mkubwa sana.....unapendelea wilaya gani!Lakini pia malengo yako ni kutaka kulima mazao gani ili iwe rahisi kushauriwa!
We jamaa Turiani sio wilaya!Mimi nataka kulima maharage na viazi vitamu wilaya ya turiani,naomba mwenye connection na shamba la kununua huko.
nipe muongozo kisarawe shamba la mihogo eka sh ngap kwa kukodi na ni msimu upi mzuri kupanda mihogoKwa kilimo cha muhogo karibuni wilaya ya kisarawe tuna fulsa nzuri ya kilimo cha namna hiyo, pia Nina connection na watu Wa morogoro 0714959273
Nami pia wadau, nahitaj sana shamba lililo karibu na dar. Morogoro ni njema zaidi. Plz help.Mimi nataka kulima maharage na viazi vitamu wilaya ya turiani,naomba mwenye connection na shamba la kununua huko.