NDESSA
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 1,946
- 1,796
Habari wakuu,
Naomba kujua kama wazazi wamehamia Tanzania kutoka nchi nyingine na Baba akapata uraia wa kuandikishwa na mama hajapata je mtoto atakayezaliwa Tanzania mzazi mmoja akiwa na uraia ili mtoto huyu awe Raia kamili nini kinatakiwa kufanyika?
Natanguliza shukrani.
Naomba kujua kama wazazi wamehamia Tanzania kutoka nchi nyingine na Baba akapata uraia wa kuandikishwa na mama hajapata je mtoto atakayezaliwa Tanzania mzazi mmoja akiwa na uraia ili mtoto huyu awe Raia kamili nini kinatakiwa kufanyika?
Natanguliza shukrani.