Haiwezakani walkua hawtk hizo lawama ndo mana waka semantic mchague mikoa mnayo takaMi sio Polisi, ila jibu ni Haiwezekani
Nasuburi wadau jaman Kwa anayejua usaili utakaofanyika pale DPA kutakuwa na utaratibu ganiMe naomba kuuliza, kwa wale walioitwa kufanya usaili pale DPA kutakuwa na utaratibu gani wa malazi?
Kuna kitu walieleza WATAJIGHARAMIA kwa hatua zote.Nasuburi wadau jaman Kwa anayejua usaili utakaofanyika pale DPA kutakuwa na utaratibu gani
Sawa vp namna ya ku report wanavaa moja kwa moja nguo za michezo? Kama ilivyoelezwaKuna kitu walieleza WATAJIGHARAMIA kwa hatua zote.
Ukienda kinyume kwa walichoeleza ndo kushindwa kwenyewe hukoSawa vp namna ya ku report wanavaa moja kwa moja nguo za michezo? Kama ilivyoelezwa