Msaada kuhusu usimamizi wa mirathi.

Msaada kuhusu usimamizi wa mirathi.

Ndugu zangu naombeni msaada wa sheria inayohusu haki ya msimamizi wa mirathi baada ya mirathi kutoka.

Mama yangu alipata mtu ambaye alijitolea kua msimamizi wa mirathi, lakini baada ya Mirathi kutoka anadai kuwa kisheria Msimamizi wa mirathi inatakiwa apewe Thelusi moja ya thamani yote ya mirathi.

Je ni sahihi kisheria? Ni hayo tu ndugu zangu.

msimamizi wa mirathi hapaswi pewa hata sh. 10 maana ile ni usimamizi tu sio kupata benefit ya aina yeyote ile
 
Back
Top Bottom