Msaada kuhusu utaratibu wa Leseni ya Biashara

Msaada kuhusu utaratibu wa Leseni ya Biashara

The Next MP

Member
Joined
Nov 15, 2023
Posts
71
Reaction score
119
Wakuu msaada kidogo hapa. Mimi nafanya biashara ya duka la vinywaji. Mwaka wa tatu huu.
Leseni huwa Kila ikiisha naenda TRA na Halmashauri ku-renew.

Sasa last time nimerenew itaisha mwezi wa 8 tareh 30 mwaka huu 2024. Cha ajabu amekuja Afisa biashara amechukua leseni anasema leseni niliyonayo na biashara iliyopo haviendani kwahiyo anataka nilipie tena.

Hii imekaaje na Kila mwaka leseni yangu ni hiyo na wanaadaa wenyewe.

Msaada kwa mwenye ujuzi wa haya mambo. Shukrani.
 
Wakuu msaada kidogo hapa. Mimi nafanya biashara ya duka la vinywaji. Mwaka wa tatu huu.
Leseni huwa Kila ikiisha naenda TRA na Halmashauri ku-renew.

Sasa last time nimerenew itaisha mwezi wa 8 tareh 30 mwaka huu 2024. Cha ajabu amekuja Afisa biashara amechukua leseni anasema leseni niliyonayo na biashara iliyopo haviendani kwahiyo anataka nilipie tena.

Hii imekaaje na Kila mwaka leseni yangu ni hiyo na wanaadaa wenyewe.

Msaada kwa mwenye ujuzi wa haya mambo. Shukrani.
Hakuna tofauti ya Mtanzania na kondoo.
 
"leseni niliyonayo na biashara iliyopo haviendani kwahiyo anataka nilipie tena."


Ulimuomba maelezo ya kutosha huyo afisa kabla hujaja hapa? Au alichukua leseni akapita shwaaaaa!
 
"leseni niliyonayo na biashara iliyopo haviendani kwahiyo anataka nilipie tena."


Ulimuomba maelezo ya kutosha huyo afisa kabla hujaja hapa? Au alichukua leseni akapita shwaaaaa!
Yeye maelezo yake anasema leseni inaonesha nafanya biashara ya duka la vinywaji dogo wakati ni kubwa. Nikamuuliza wakati nakata leseni si mlikuja kukagua wenyewe (Halmashauri). Wakaingia kwenye gari wako maaskari, mwisho kaniambia kama haitakuja Halmashauri kulipia, tutakuja kufunga biashara kwasababu hauna Leseni.
 
Yeye maelezo yake anasema leseni inaonesha nafanya biashara ya duka la vinywaji dogo wakati ni kubwa. Nikamuuliza wakati nakata leseni si mlikuja kukagua wenyewe (Halmashauri). Wakaingia kwenye gari wako maaskari, mwisho kaniambia kama haitakuja Halmashauri kulipia, tutakuja kufunga biashara kwasababu hauna Leseni.
Inaonekana biashara imekuwa na daraja la leseni limebadilika. Kwa maelezo yake.
 
Inaonekana biashara imekuwa na daraja la leseni limebadilika. Kwa maelezo yake.
Sawa hata Mimi nilielewa hivyo, Sasa kama ni hivyo kwanini asisubiri leseni iishe muda wake ninapokwenda ku-renew akija kukagua ndo anipe leseni inayoendana. Kunyanga'anya leseni katikati ya muda kabla haujaisha ni halali?
 
Mimi nilitaka kupiga mtu Panga, kupunguza hasira nikaona nije huku labda Kuna watu wanajua Sheria kuhusu haya mambo.
 
Wakuu msaada kidogo hapa. Mimi nafanya biashara ya duka la vinywaji. Mwaka wa tatu huu.
Leseni huwa Kila ikiisha naenda TRA na Halmashauri ku-renew.

Sasa last time nimerenew itaisha mwezi wa 8 tareh 30 mwaka huu 2024. Cha ajabu amekuja Afisa biashara amechukua leseni anasema leseni niliyonayo na biashara iliyopo haviendani kwahiyo anataka nilipie tena.

Hii imekaaje na Kila mwaka leseni yangu ni hiyo na wanaadaa wenyewe.

Msaada kwa mwenye ujuzi wa haya mambo. Shukrani.
Huyo ofisa ni mjinga tu anakutikisha umpe kitu kidogo. Muda uliobaki ni mfupi alitakiwa akwambie ikiisha utafute leseni ipi ilio sahihi.
 
Back
Top Bottom