Msaada kuhusu utaratibu wa utoaji huduma TANESCO kwetu tusioelewa

Msaada kuhusu utaratibu wa utoaji huduma TANESCO kwetu tusioelewa

Nsennah

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2021
Posts
1,947
Reaction score
1,554
Habarini wadau? Nimewauliza TANESCO kwenye thread yao hawajanijibu nimekuja kuomba msaada huku. Je, surveyor kutoka TANESCO analipwa na mteja anayehitaji kuunganishiwa umeme ndo aje afanye survey nyumbani kwako au ni bure?? Nimeuliza hivi maana mimi nimeambia nitoe pesa ili mtoa huduma hiyo kunifikia.
 
Toa nauli hiyo hata 5000 au 10000 soo mbaya usiwe mgumu sana rafiki
 
Toa nauli hiyo hata 5000 au 10000 soo mbaya usiwe mgumu sana rafiki
Nimeambiwa 15k ndg yangu wakati hata kwa boda unafka kwa buku 2 kutoka ofisi zao hadi site. Tena 2k ni maximum
 
Toa nauli hiyo hata 5000 au 10000 soo mbaya usiwe mgumu sana rafiki
But all in all we entertain rushwa. Haipaswi kuwa hivyo kama ni bure, better umwambie mtu kuwa huwa ni bure lkn niwezeshe nauli siyo kuiweka km ni utaratibu
 
Habarini wadau? Nimewauliza TANESCO kwenye thread yao hawajanijibu nimekuja kuomba msaada huku. Je, surveyor kutoka TANESCO analipwa na mteja anayehitaji kuunganishiwa umeme ndo aje afanye survey nyumbani kwako au ni bure?? Nimeuliza hivi maana mimi nimeambia nitoe pesa ili mtoa huduma hiyo kunifikia.
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi kupitia ukurasa huu na pole kwa chagamoto hiyo, surveyor kutoka TANESCO halipwi na mteja, kufika kwako kutoa huduma ni majukumu yake ya kazi na analipwa na shirika, usifanye malipo yoyote ili kupata huduma hiyo tafadhali.^OK
 
Back
Top Bottom