Msaada kuhusu vitambulisho vya taifa wakuu

Msaada kuhusu vitambulisho vya taifa wakuu

NALO LITAPITA

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2011
Posts
333
Reaction score
90
Naomba kujuzwa ni details gani hasa zinaandikwa kwenye kitambulisho cha taifa?. Makarani wa sensa ambao kimsingi ndio makarani watakao andaa orodha ya wakazi wa mtaa orodha itakayotumika kuandaa vitamb ulisho vya taifa katika semina wameelekezwa kuandika jina la mtu, umri.elimu yake pamoja na tarehe al;iyoingia mtaani swali langu je kwenye kitambulisho ni information gani hasa zitawekwa?msaada wakuu
 
Kama wewe ni jambazi ,umewahi kuuwa,kuiba ,kubaka au kufanya uhalifu sehemu yeyote siku zilizopita ,basi usiende kuandikisha vitambulisho. Na uhame Tz kwani vikishakamilika,polisi au vyombo vya sheria vinaweza kuvamia sehemu yeyote ile na kudai vitambulisho hivyo vya National identity kama huna ni kosa.
 
Kama wewe ni jambazi ,umewahi kuuwa,kuiba ,kubaka au kufanya uhalifu sehemu yeyote siku zilizopita ,basi usiende kuandikisha vitambulisho. Na uhame Tz kwani vikishakamilika,polisi au vyombo vya sheria vinaweza kuvamia sehemu yeyote ile na kudai vitambulisho hivyo vya National identity kama huna ni kosa.

Tena kosa unaweza kufukuzwa Nchini kwani utakuwa umepoteza Utanzania wako... Tetesi inasemekana marekani wamejitolea kuwachukua wale wasio na Vitambulisho vya uraia na kuwapa wao
 
Tena kosa unaweza kufukuzwa Nchini kwani utakuwa umepoteza Utanzania wako... Tetesi inasemekana marekani wamejitolea kuwachukua wale wasio na Vitambulisho vya uraia na kuwapa wao

Mkuu sasa wewe unataka kuleta vurugu!Unaweza ukafanya asilimia 90 ya watanzania wasijiandikishe kupata vitambulisho wakitegemea kuchukuliwa na Marekani wakale kuku kwa mrija!
 
Anataka kuchakachua taarifa, pengine ni mhalifu

Ana uzoefu wa kupiga DESA kuanzia primary, O level, A level mpaka chuo na sasa anataka kupiga desa mpaka uraiani na kwenye vitambulisho vya Taifa ili achakachue baadhi ya information asizitoe
 
Tulia wewe, kila jambo na wakati wake. Muda ukifika utafahamu tu mbona haraka hivyo?
 
Back
Top Bottom