Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera mkuu.... Maji ya moto yaani ukiweza kunywa haya asubuhi na jioni utashangaamimi nimeanza nina wiki sasa nakimbizana kupunguza kilo zaidi ya mia lakini nimeamua zipungue taratibu kwa wastani usiozidi kilo mbili kwa wiki ninachofanya:-
asubuhi nakula mchemsho wa mbogamboga kama nyanyachungu, bamia,njegere,kitunguu maji,giligilani, karoti labda na kipande cha ndizi au kiazi. baada ya muda kupita nakunywa maji asubuhi imepita.
baada ya hapo usile mpaka usikie njaa na ikiwezekana kabla ya kula hakikisha umekunywa maji mengi saa moja kabla ili kupunguza mzigo wa ugali mchana, unaweza kula vyovyote ila mboga ziwe nyingi kuliko ugali hapa namaanisha nyama sio tatizo kwako.
jioni unaweza kula matunda au ukarudi kwenye mchemsho wako wa asubuhi.
kwa kuwa umekuwa bonge kwa muda mrefu kwa sababu ya uroho wako kama mimi hivyo anza mazoezi taratibu sana na unaweza kwa kuanza kwa kutembea kwa muda usiopungua nusu saa za jioni na mazoezi madogomadogo kwa muda wa wiki mbili kisha ongeza mazoezi kadri ya muda unavyozidi.
ukiweza nenda likizo ya kinywaji bia na unaweza ukapata glass ya wine kila baada ya mlo hasa jioni, soda kaa nazo mbali, ukihitaji chai unaweza kutumia viungo kama mdarasini na mlonge achana na kahawa pamoja na majani ila punguza sukari japo ni vizuri ukatumia asali.
kama kawaida mganga hajigangi mimi ni mmoja ninayeshindwa kufuatilia mtililiko huu japo ulinisaidia sana wakati fulani. mfano hebu fikiria nina mtu naona naye muda si mrefu lakin yeye atakuwa anafuta safari baridi mimi napambana na simtank ya maji kwa kweli it need heart
Hii ndiyo JF buana, humu unakutana na kila kitu na majibu ya kila swali unalouliza,unaweza kucheka mpaka ukafariki dunia.anatakiwa atumie ugali wa muhogo na togwa
Habarini wahenga wenzangu na msio wahenga pia. Leo nauliza ni vyakula gani hasa na vinywaji ambavyo mtu anayefanya mazoezi anashauriwa kuvitumia? Naombeni majibu kwa anayefahamu
Thank you much chief this is amazingmimi nimeanza nina wiki sasa nakimbizana kupunguza kilo zaidi ya mia lakini nimeamua zipungue taratibu kwa wastani usiozidi kilo mbili kwa wiki ninachofanya:-
asubuhi nakula mchemsho wa mbogamboga kama nyanyachungu, bamia,njegere,kitunguu maji,giligilani, karoti labda na kipande cha ndizi au kiazi. baada ya muda kupita nakunywa maji asubuhi imepita.
baada ya hapo usile mpaka usikie njaa na ikiwezekana kabla ya kula hakikisha umekunywa maji mengi saa moja kabla ili kupunguza mzigo wa ugali mchana, unaweza kula vyovyote ila mboga ziwe nyingi kuliko ugali hapa namaanisha nyama sio tatizo kwako.
jioni unaweza kula matunda au ukarudi kwenye mchemsho wako wa asubuhi.
kwa kuwa umekuwa bonge kwa muda mrefu kwa sababu ya uroho wako kama mimi hivyo anza mazoezi taratibu sana na unaweza kwa kuanza kwa kutembea kwa muda usiopungua nusu saa za jioni na mazoezi madogomadogo kwa muda wa wiki mbili kisha ongeza mazoezi kadri ya muda unavyozidi.
ukiweza nenda likizo ya kinywaji bia na unaweza ukapata glass ya wine kila baada ya mlo hasa jioni, soda kaa nazo mbali, ukihitaji chai unaweza kutumia viungo kama mdarasini na mlonge achana na kahawa pamoja na majani ila punguza sukari japo ni vizuri ukatumia asali.
kama kawaida mganga hajigangi mimi ni mmoja ninayeshindwa kufuatilia mtililiko huu japo ulinisaidia sana wakati fulani. mfano hebu fikiria nina mtu naona naye muda si mrefu lakin yeye atakuwa anafuta safari baridi mimi napambana na simtank ya maji kwa kweli it need heart
Angalau asubuh upate kipande cha parachichi,yai la kienyeji na mhogo/kiazi/gimbi bila kusahau kuamka na maji nusu lita kabla ya kula..punguza wanga..kula nuts kwa sana...ma bidhaa ya viwandani no no no...
Habarini wahenga wenzangu na msio wahenga pia. Leo nauliza ni vyakula gani hasa na vinywaji ambavyo mtu anayefanya mazoezi anashauriwa kuvitumia? Naombeni majibu kwa anayefahamu
Habarini wahenga wenzangu na msio wahenga pia. Leo nauliza ni vyakula gani hasa na vinywaji ambavyo mtu anayefanya mazoezi anashauriwa kuvitumia? Naombeni majibu kwa anayefahamu
mimi napenda kunywa maji/ huwa nakunywa mengi sana lakini nahisi kama nikinywa tumbo langu linakuaAchana kabisa na pombe kama unataka kupunguza uzito na unywe maji mengi hata litre nne kwa siku kama utaweza