Msaada kuhusu vyuo vinavyotoa kozi za ICT online

Msaada kuhusu vyuo vinavyotoa kozi za ICT online

Oxpower

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,166
Reaction score
3,077
Ndugu wana jamvi,

Naombeni kujua vyuo vinavyotoa kozi za ict ngazi ya certificate au diploma kwa hapa tanzania ,kwa njia ya mtandao.

Nb.nina bachelor katika fani nyingine,o level nina C ya hesabu na D ya physics je naweza kuanza na diploma au certificate msaada tafadhali kwa mnajua hili
 
Ni kwamba vyuo hakuna au uzi haujaonekana
 
Back
Top Bottom