hmjamii
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 627
- 312
Salaam kwenu!
Naomba msaada kwa wataalamu wa masuala ya kodi, nimejaribu kutafakari kuhusiana na Mawakala wa mitandao ya simu kulipa kodi ya makadirio (presumptive tax) ya mwaka,
Ninafahamu kuwa Wakala anapopata Commission yake ya mwezi huwa tayari imekatwa kodi na huwa hana namna anaweza kukwepa hiyo kodi ya 10%. Kwa wenye kujua taratibu na kwanini WAKALA anatakiwa kulipia kodi TRA wakati kodi analipa kwenye commission anazopata anisaidie na Mimi niongeze uelewa.
Wasalaam.
Naomba msaada kwa wataalamu wa masuala ya kodi, nimejaribu kutafakari kuhusiana na Mawakala wa mitandao ya simu kulipa kodi ya makadirio (presumptive tax) ya mwaka,
Ninafahamu kuwa Wakala anapopata Commission yake ya mwezi huwa tayari imekatwa kodi na huwa hana namna anaweza kukwepa hiyo kodi ya 10%. Kwa wenye kujua taratibu na kwanini WAKALA anatakiwa kulipia kodi TRA wakati kodi analipa kwenye commission anazopata anisaidie na Mimi niongeze uelewa.
Wasalaam.