mpwa naufuatilia huu mualiko...........mKUU ni tute tubia twa ilala mazee... si unaonaga yale ma-molases yanapotoka pale kupelekea wachagga wenzetu walishie mombe!???
USISAHAU YALE MABANGO YETU == JF MAPENZI BAND - LEO TUPO HAPA = INDOOR PUB, DJ GEOFF ATARUSHA WATU MAJOKA NA X-PIN ATAONGOZA KUGIDA ULANZI NA JUISI YA MOLASES
Ndizi mbivu tena? Itapitia wapi?nitakupitishia Big G na ndizi Mbivu wakati naenda kwenye kijiwe changu pale migomigo ......
Kakague kule hommie. Ile kitu ilisimikwa na mababu zetu. Kilichosimikwa kimesimikwa!eeh! hata siku 2 hazijapita za sredi ya carmel.....kweli this is here to stay lol:rofl:
You can say that again....yaaani wewe na Avatar yako unafaa kumpa Xpin company mkisaidiana na Geoff na Fidel80
Kwani hii sredi ya Carmel ilikuwa inasemaje? naomba summary shemeji.eeh! hata siku 2 hazijapita za sredi ya carmel.....kweli this is here to stay lol:rofl:
hehehe!Mimi ndio dawa yako.Nitahakikisha hivyo virusi vya hengiova havikupati.
ahahahaha umrnivunja mbavu mwana wa mwenzioMPWA unauliza midevu kwa osama?
ninachokifanya hapa nikuikabili INFIDELITY THEORY ili ninywe bia kwa raha zangu.....
nitafutie na gesti ya kupumzika wakazi wa kimara maanake nikiondoka kesho jioni see you jumatatuuuuuuu!
(NAAGA NAENDA KIGOMA)
equation ya infidelity SOLVED
Ahsante kwa lekcha nzuri namna hii. Hapa naona kama nimepata PhD!mKUU ni tute tubia twa ilala mazee... si unaonaga yale ma-molases yanapotoka pale kupelekea wachagga wenzetu walishie mombe!???
USISAHAU YALE MABANGO YETU == JF MAPENZI BAND - LEO TUPO HAPA = INDOOR PUB, DJ GEOFF ATARUSHA WATU MAJOKA NA X-PIN ATAONGOZA KUGIDA ULANZI NA JUISI YA MOLASES
:target::drum:mpwa naufuatilia huu mualiko...........
nasubiri confirmation kwa simu
Topic muhimu za kwa maendeleo ya Taifa. Kunywa bia. Lipa kodi kwa maendeleo ya Taifa kupitia Bia.HEHEHEHEHE!
topik kama hizi kaizer lazima atue box aje kuchangia
habari za ubeligiji mkuu kaizer?
hehehehe!halafu na wewe natamani siku moja tudumishe desturi pamojaahahahaha umrnivunja mbavu mwana wa mwenzio
weweee......koma kabisa, watu tusififanye tuyapendayo kwa raha zetu!!
mbona wazee wa kilimo kwanza huwa wanang'ang'ania kifuani na kugeuza geuza style zote kama vile hiyo kitumbua haitakuwepo kesho yake!!
HEHEHEHEHE!
topik kama hizi kaizer lazima atue box aje kuchangia
habari za ubeligiji mkuu kaizer?
INFIDELITY THEORY itatubana. au kuna exceptions?hehehehe!halafu na wewe natamani siku moja tudumishe desturi pamoja
Hapo nimesoma chini ya mistari. Hivi mila na desturi ni vitu vya aina moja? au ndio utamaduni huo huo?hehehehe!halafu na wewe natamani siku moja tudumishe desturi pamoja
Kwani hii sredi ya Carmel ilikuwa inasemaje? naomba summary shemeji.
hehehehe!halafu na wewe natamani siku moja tudumishe desturi pamoja
aaah..maboksi yalianza tangu zamani...huku ni summer tyme.. ..watu wanapozungumzia maslahi lazima uchungulie kidogo mpwa....:A S clock:
TOBA!!!! tiangalieangalie jameni, tisije tikaleta tifu kwa wenzhetu ayiMpwa ungenialika ningekuwa nakupetpet pembeni! ila kina Matesha tungehakikisha tunawapiga bia za kutosha wanalewa kwanza then sie harusi ikiisha tunaelekea viwanja vingine vya maraha!! nakuhakikishia hutapanta ng'o hangover! Mlevi unatikiwa bia moja unachezesha chezesha mwili si unakunya hata mazoezi kidogo hupati...Ok mpwa kila la heri ila angalia jumapili uwe tu mtu wa kunywa club soda ya safari!!
INFIDELITY THEORY itatubana. au kuna exceptions?
mmmh!!!
hata hapa mmh!!!
Mpwa ungenialika ningekuwa nakupetpet pembeni! ila kina Matesha tungehakikisha tunawapiga bia za kutosha wanalewa kwanza then sie harusi ikiisha tunaelekea viwanja vingine vya maraha!! nakuhakikishia hutapanta ng'o hangover! Mlevi unatikiwa bia moja unachezesha chezesha mwili si unakunya hata mazoezi kidogo hupati...Ok mpwa kila la heri ila angalia jumapili uwe tu mtu wa kunywa club soda ya safari!!
TOBA!!!! tiangalieangalie jameni, tisije tikaleta tifu kwa wenzhetu ayi
wapi B kufanya makatazo????we B nini sasa...weekend iyo twen zetu!:A S clock: