Msaada: Kuikabili HANGOVER Jumatatu!

Msaada: Kuikabili HANGOVER Jumatatu!

sasa mkuu, ukipiga tuskeri na wadada watakunywa nn? we piga safari bana!! inarudisha heshima ati!!

Yeah apige chuma chakavu atakulaje vitu laini kama hivyo? bht atakunywa nn sasa?
 
mi naomba niwaage jamani.....weekend njema.....hommie do zeniiful asap!

Kabla hujaondoka, have one for the road please. Mwambie barman hiyo ni kwa bili yangu tafadhali.

 
sasa mkuu, ukipiga tuskeri na wadada watakunywa nn? we piga safari bana!! inarudisha heshima ati!!

Halafu Tusker sio nzuri sana kama una mechi ya mchangani! Inaweza kukuumbua!
 
Yeah apige chuma chakavu atakulaje vitu laini kama hivyo? bht atakunywa nn sasa?

hahaaaa sawa Fide bana!!!!!!!!!!!!! afu hau kam mi sijuagi unatumia udirinki gani all these yrs?? leo ntakuwa makini!!!!
 
Mkuu una uhakika na jinsia ya huyo unayemwomba kwenda naye PM?

ivi hujaona ombi langu la twisheni jina lako tunalitamkaje au hadi tuwe tumeshagonga beer kadhaaa.....

Tena inakuwa tamu ukipata sehemu ya kiuno...lol

Yeah apige chuma chakavu atakulaje vitu laini kama hivyo? bht atakunywa nn sasa?

Halafu Tusker sio nzuri sana kama una mechi ya mchangani! Inaweza kukuumbua!

hahaaaaaa jamani jamani

hahaaaa sawa Fide bana!!!!!!!!!!!!! afu hau kam mi sijuagi unatumia udirinki gani all these yrs?? leo ntakuwa makini!!!!
hAPA LAZIMA NIKIRI, SPEED ILINISHINDA. Sasa twendeni sawa LOL!
 
Kumaliza hang-over


KICHWA kinagonga, unaona kizunguzungu, mwili hauna nguvu, unasikia kichefuchefu, kama unataka kutapika lakini hutapiki, kwa kifupi unajisikia hovyo kwa sababu ya unywaji wa kupindukia jana! Hali hii inaitwa HANG-OVER au uchovu.

Ingawa hatupendi kuelezwa ukweli au kufikiria madhara ya pombe, lakini ni ukweli ulio wazi kuwa pombe ni dawa ya kulevya.

Ina dhoofisha mwili na pale mtu anapokunywa kupita kiwango, mwili hujawa na sumu.

Unapokutana na hali hiyo, mwili hujaribu kujinasua kama vile ambavyo kitu chochote kingefanya kinapovamiwa na kitu kigeni.

Njia bora ya kuondokana na uchovu (hangover) ni kunywa kiasi au kuacha kabisa ulevi.

Kama utashindwa kujizuia kunywa na unataka kujiepusha na uchovu asubuhi, ni vyema ukila vitu vifuatavyo ambavyo vinaweza kukusaidia:

1. NDIZI MBIVU

Unapozidiwa na kilevi, kiasi kikubwa cha madini ya potasiamu hupotea, hivyo kwa kula ndizi mbivu ambazo zinaaminika kuwa na kiwango kikubwa cha madini hayo, kutakusaidia kupunguza makali ya hang-over.

Unachotakiwa kufanya ni kutafuta ndizi mbivu nzuri, menya na kula kwa wingi.

2. TANGAWIZI

Tangawizi mbichi imekuwa ikitumika kwa muda mrefu kutibu magonjwa mbalimbali, yakiwemo ya kusikia kichefuchefu na mafua.

Andaa juisi ya tangawizi mbichi na kunywa kama ilivyo, au unaweza kuandaa kwa kukata vipande kati ya 10 hadi 12 na uchanganye na vikombe 4 vya maji. Chemsha kwa dakika 10, epua na chuja.

Changanya na juisi ya chungwa moja, kipande cha limau na nusu kikombe cha asali.

Kunywa mchanganyiko huo utapata nafuu mara moja.

3. ASALI NA LIMAU

Asali na limau ni kinywaji bora kuliko vyote katika tiba hii, ni rahisi kutengeneza na kunywa.

Kinarudisha haraka kiasi cha sukari na maji kilichopotea wakati wa kunywa kilevi.


Chemsha maji kiasi cha kikombe kimoja, changanya limau na asali kupata ladha unayoitaka.

Ni bora kutumia asali ili kupata sukari ya asili, badala ya kutumia sukari ya kawaida.


Ili kupata ahueni, kunywa mchanganyiko huo mara kadhaa kwa siku.

4. SUPU, WALI

Mtu anapoanza kupata nafuu kutokana na uchovu, chakula huwa kitu cha mwisho kabisa kutamani kula, lakini pamoja na kutojisikia hamu ya kula, unahitaji kula ili mwili upate nguvu.

Unashauriwa kuanza kwa kula vyakula vyepesi kama vile wali mweupe, supu, n.k

5. KINYWAJI MAALUM

Kunywa pia vinywaji maalum vinavyotumiwa na wanamichezo kwa lengo la kurejesha nguvu na madini yaliyopotea mwilini.

Unaweza pia kunywa vinywaji vya kutia nguvu mwili (energy drink) kama vile, Red Bull, Shark, Malta Guiness, n.k

6. BARAFU

Ili kutuliza maumivu ya kichwa, chukua vipande vya barafu, weka kwenye mfuko wa plastiki ambao utazungurusha kwenye kitaulo na kuweka kwenye kipaji chako cha uso kinachogonga.

7. JUISI

Juisi, hasa fresh ya machungwa, husaidia kupandisha kiwango cha sukari kilichopotea na husaidia kuondoa dalili za uchovu mwilini.

Hata hivyo, kama tumbo lako limechafuka sana, kunywa juisi ya epo (tufaha) badala ya machungwa ambayo ina asidi.

8. MAJI

Mbali ya muda, maji ni tiba bora ya uchovu.

Upungufu wa maji unaotokana na kunywa kiasi kingi cha kilevi ndiyo unaoleta kasheshe mwilini. Kunywa maji mengi wakati wote wa mchana, siyo chini ya glasi nane kwa siku.

DONDOO MUHIMU

Ili kujiepusha na ‘hang-over’ asubuhi baada ya kunywa kupita kiasi, kunywa maji mengi sana kabla ya kupanda kitandani.

Au kunywa taratibu, kinywaji kimoja kila baada ya saa moja kwani huo ndiyo muda unaotumika na kinywaji kusambaa mwilini na kutoweka​
Aisee ahsante sana kwa hii yuziful point. Nimekaprinti ntaenda kukabandika kwenye ukuta chumbani kwangu. Yaani hujaenda ofu topiki kabisa asee.
 
LONG LIVE VALUU............
long live INFIDELITY............
INFIDELITY FOR LIFE!
 
go infidelity goooooooooooo!
YOU AAAA THE CHAAAAAMMMP!
we love you infidelity
GOOOOOO
YOU ARE HERE TO STAY
 
hahaaaa sawa Fide bana!!!!!!!!!!!!! afu hau kam mi sijuagi unatumia udirinki gani all these yrs?? leo ntakuwa makini!!!!

Mi nakunywa hiyo screpa a.k.a chuma chakavu nashangaa huyo mwanaume anakunywa Tusker sasa ww utatumia nn hapo?
 
A DRUNK will be sobber next day, but a FOOL will remain a FOOL. Kaka wewe ni drunker hatuna cha kukushauri pombeka because kesho yake utakuwa sobber sasa kama unaofia utaharibu kibarua ina maana utakuwa fool
 
A DRUNK will be sobber next day, but a FOOL will remain a FOOL. Kaka wewe ni drunker hatuna cha kukushauri pombeka because kesho yake utakuwa sobber sasa kama unaofia utaharibu kibarua ina maana utakuwa fool
Kakague nilichokugongea hapo mazee.
 
Guys, its Friday and the bar now officially Open! Ni Happy Hour, so buy one, get two for free! Let the party begin.


talking-beer-glass.jpg
 
Guys, its Friday and the bar now officially Open! Ni Happy Hour, so buy one, get two for free! Let the party begin.


talking-beer-glass.jpg
Dah! Ngoja niwahi kaunta. Ushantia kiu!
 
Back
Top Bottom