Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
- Thread starter
- #21
Kamanda nilishasema mtu ambaye atahitaji kushiriki karamu hizi aniPM. Ila masharti ni kuwa kama unakunywa bia chini ya 15 usije. Nitakuagizia huko huko uliko. Nataka watu walio serious na ulipaji wa kodi ya serkikali through some number of bottles of cold beer.Kaka kazi unayo ila 'vitu vizuri kula na nduguyo' tualikane mkulu, mi nakushauri licha ya kula vizuri hasa kamdudu ka kurosti pia unywe tusker baridiiiiii,siipigii debe ila yalishanitokea mafuriko kama hayo nilikunywa jumla ya tusker kama kreti 2 kuanzia jmosi hadi j2 saa 7 hivi ila kumbuka maji kama lita 1 kila baada ya bia 7 ni muhimu.Starehe njema rafiki.
Hahahaha! Labda anachangaya na nyagi bapa kazaa. Kaka taratibu hapo, hivi vichwa havilingani kama vilivyo vidole.sasa mkuu, ukipiga tuskeri na wadada watakunywa nn? we piga safari bana!! inarudisha heshima ati!!
Hilo angalizo hapo kwenye bold litazingatiwa kama itifaki. Dah! Ukila hivyo vitu halafu ukamimina na bia kadhaa mazee. Kama si kutapika basi huo ush'uzi utakaoutoa kesho yake, nzi watakuwa hawachezi mbali na wewe....Dawa ni supu tu! na mtu asikudanganye, Amka jmosi ashubuhi, Gonga supu na pc mbili ya kongoro, kama kuna ndizi chemsho pia itakuwa shangwe zaidi, gonga kama 2pcs. Ikifika mchana kachome nyama nusu kwa ugali then kaoge upumzike angalau 3hrs. Ukitoka hapo kakamate tena supu kama kawa halafu after 1hr anza kukata maji mwana mpaka saa saba nane usiku si mbaya. Kesho yake asubuhi follow the same procedure then moday you will be fine!
Note: usije ukala wali, tambi, wala ubwabwa maana utaubuka and Dont drink and drive.
Mm mwenyewe nimepiga marufuku kupikwa kwa vyakula vya aina hiyo niliyotaja hapo juu nyumbani kwangu siku za shangwe!!!!! (weekend and holidayz).
Good Weekend!😛ainkiller:
Dada unapopata nafasi ya kunywa biere kunywa them as much as you can. Unakunywa kulipizia na zile utakazozimisi siku ukiwa kwenye kifungo cha antibayotiks, flagil, klorokwini, metakelfini,fansida na ndugu zao.What hapo kwenye red you people are overdoing jamani nikwamba the next day kiwanda kitakuwa kimefungwa au?