Msaada: Kuikabili HANGOVER Jumatatu!

Msaada: Kuikabili HANGOVER Jumatatu!

Kaka kazi unayo ila 'vitu vizuri kula na nduguyo' tualikane mkulu, mi nakushauri licha ya kula vizuri hasa kamdudu ka kurosti pia unywe tusker baridiiiiii,siipigii debe ila yalishanitokea mafuriko kama hayo nilikunywa jumla ya tusker kama kreti 2 kuanzia jmosi hadi j2 saa 7 hivi ila kumbuka maji kama lita 1 kila baada ya bia 7 ni muhimu.Starehe njema rafiki.
Kamanda nilishasema mtu ambaye atahitaji kushiriki karamu hizi aniPM. Ila masharti ni kuwa kama unakunywa bia chini ya 15 usije. Nitakuagizia huko huko uliko. Nataka watu walio serious na ulipaji wa kodi ya serkikali through some number of bottles of cold beer.

sasa mkuu, ukipiga tuskeri na wadada watakunywa nn? we piga safari bana!! inarudisha heshima ati!!
Hahahaha! Labda anachangaya na nyagi bapa kazaa. Kaka taratibu hapo, hivi vichwa havilingani kama vilivyo vidole.

Dawa ni supu tu! na mtu asikudanganye, Amka jmosi ashubuhi, Gonga supu na pc mbili ya kongoro, kama kuna ndizi chemsho pia itakuwa shangwe zaidi, gonga kama 2pcs. Ikifika mchana kachome nyama nusu kwa ugali then kaoge upumzike angalau 3hrs. Ukitoka hapo kakamate tena supu kama kawa halafu after 1hr anza kukata maji mwana mpaka saa saba nane usiku si mbaya. Kesho yake asubuhi follow the same procedure then moday you will be fine!

Note: usije ukala wali, tambi, wala ubwabwa maana utaubuka and Dont drink and drive.

Mm mwenyewe nimepiga marufuku kupikwa kwa vyakula vya aina hiyo niliyotaja hapo juu nyumbani kwangu siku za shangwe!!!!! (weekend and holidayz).

Good Weekend!😛ainkiller:
Hilo angalizo hapo kwenye bold litazingatiwa kama itifaki. Dah! Ukila hivyo vitu halafu ukamimina na bia kadhaa mazee. Kama si kutapika basi huo ush'uzi utakaoutoa kesho yake, nzi watakuwa hawachezi mbali na wewe....

What hapo kwenye red you people are overdoing jamani nikwamba the next day kiwanda kitakuwa kimefungwa au?
Dada unapopata nafasi ya kunywa biere kunywa them as much as you can. Unakunywa kulipizia na zile utakazozimisi siku ukiwa kwenye kifungo cha antibayotiks, flagil, klorokwini, metakelfini,fansida na ndugu zao.
 
weweee......koma kabisa, watu tusififanye tuyapendayo kwa raha zetu!!
mbona wazee wa kilimo kwanza huwa wanang'ang'ania kifuani na kugeuza geuza style zote kama vile hiyo kitumbua haitakuwepo kesho yake!!
Hahahahaha! laiti vitumbua vingekuwa vinaisha.......................

honey, ckujua kaam una mambo mazuri hivi weekend jamani halafu ukakaa kimya bila hata kunitonya, nimeckitishwa sana na hiki kitendo.
Usijali luv, will kol you shortly. Lakini punguza unoko japo kiduchu basi
 
Hili ni neno la busara sana. Ubarikiwe mtumishi wa Bwana. Ila nikifukuzwa kazi kina matesha nukuletea uwalee.
mkuu nilishakoswa koswa na hali kama hiyo siku moja,nilitandika mtungi sawasawa jumapili halafu mshkaji mmoja akanipigia simu ya dili fulani nikamwambia mwenyewe "niko bwii kishenz hatuwezi kuongea`",kumbe wakati nabishana nae aliweka loud speaker halafu alikua yuko na bosi mkuu ,jtatu gari ikagoma kuamka kuwahi ofisi bana,bosi akaniuliza vp mbona huonekani?si nikapiga fix kama pumu imenibana ghafla asubuhi siwezi hata kuongea,dah mkuu bosi akaja juu akanieleza mpaka sehemu niliokuwa nakata masanga na simu niliyopokea kila nilichoongea ebana nilikua mpole sana,kidogo kibarua kiote nyasi mkuu toka hapo niko mwangalifu sana na bwii la jumapili,ijumaa na jumamosi aaah nalipakia kama sina akili nzuri.:frown:
 
kUNYWA KONYAGI CHUPA 4 KUBWA NA BIA SAFARI KAMA 8 u will do great on monday
 
mkuu nilishakoswa koswa na hali kama hiyo siku moja,nilitandika mtungi sawasawa jumapili halafu mshkaji mmoja akanipigia simu ya dili fulani nikamwambia mwenyewe "niko bwii kishenz hatuwezi kuongea`",kumbe wakati nabishana nae aliweka loud speaker halafu alikua yuko na bosi mkuu ,jtatu gari ikagoma kuamka kuwahi ofisi bana,bosi akaniuliza vp mbona huonekani?si nikapiga fix kama pumu imenibana ghafla asubuhi siwezi hata kuongea,dah mkuu bosi akaja juu akanieleza mpaka sehemu niliokuwa nakata masanga na simu niliyopokea kila nilichoongea ebana nilikua mpole sana,kidogo kibarua kiote nyasi mkuu toka hapo niko mwangalifu sana na bwii la jumapili,ijumaa na jumamosi aaah nalipakia kama sina akili nzuri.:frown:

Hahahaha! dah kiongozi hiyo ilikuwa kali! si ndo maana naomba maushauri yenu mazee? kibarua kizuri na bia tamu. Hell! I can't say no to BEER!
 
kUNYWA KONYAGI CHUPA 4 KUBWA NA BIA SAFARI KAMA 8 u will do great on monday
Ndugu yangu mbona unanikumbushia dozi za enzi nikiwa sekandari skuli?
 
Kamanda kuna line ya blue nimeongezea hapo:

Ni hivi:

Ijumaa ni mwisho wa week Zero Pub kutakuwa na bia za kuanza weekend rasmi

Jumamosi hii mdogo wangu atakuwa anaoa. Harusi itakuwa na bia za kutosha.

Jumapili mpwa wangu anapata komunyo ya kwanza. Kutakuwa na bia za kufa mtu.

Jumatatu ni mwisho wa mwezi, maripoti kibao.
 
Kabla sijajibu thread mbona hujanialika kwenye harusi eeeeee??? MAmbo gani hayo Kaka Mkubwa kwenda kwenye harusi peke yako??? Si vizuri mwone kwanza
 
Kabla sijajibu thread mbona hujanialika kwenye harusi eeeeee??? MAmbo gani hayo Kaka Mkubwa kwenda kwenye harusi peke yako??? Si vizuri mwone kwanza

Wewe sina haja ya kukualika. Ntakupitia hapo home fasta. Vipi umeshaoga tayari nije?
 
hahahahahahahahahah!
NOTED,WELL FILED

ngoja niwahi home nikamtoe mshiki leo na kesho mchana ili kuanzia jioni TUSITAFUTANE.............
si unajua mambo ya INFIDELITY?
 
Wewe sina haja ya kukualika. Ntakupitia hapo home fasta. Vipi umeshaoga tayari nije?

Kuoga bado ndo kwanza nafungua vifungo vya shati halafu nifuate zipu ya suruali halafu tubane nywele zisiingie maji halafu nifungue vifungo vya....r...... halafu......p.........halafu niingie bafuni.........
 
Kuoga bado ndo kwanza nafungua vifungo vya shati halafu nifuate zipu ya suruali halafu tubane nywele zisiingie maji halafu nifungue vifungo vya....r...... halafu......p.........halafu niingie bafuni.........
Ahaa! Basi ngoja nikusubiri. Ila usipake ule mlipustiki wako mwekundu!
 
hahahahahahahahahah!
NOTED,WELL FILED

ngoja niwahi home nikamtoe mshiki leo na kesho mchana ili kuanzia jioni TUSITAFUTANE.............
si unajua mambo ya INFIDELITY?
Hahahaha! Hapo nimecheka kwa sauti!

BTW we una kiu Jumapili? Mtoto wa bwashee mwenzio wa Osheniki tunamnywea Jumapili......
 
Hahahaha! Hapo nimecheka kwa sauti!

BTW we una kiu Jumapili? Mtoto wa bwashee mwenzio wa Osheniki tunamnywea Jumapili......
MPWA unauliza midevu kwa osama?
ninachokifanya hapa nikuikabili INFIDELITY THEORY ili ninywe bia kwa raha zangu.....

nitafutie na gesti ya kupumzika wakazi wa kimara maanake nikiondoka kesho jioni see you jumatatuuuuuuu!
(NAAGA NAENDA KIGOMA)
equation ya infidelity SOLVED
 
MPWA unauliza midevu kwa osama?
ninachokifanya hapa nikuikabili INFIDELITY THEORY ili ninywe bia kwa raha zangu.....

nitafutie na gesti ya kupumzika wakazi wa kimara maanake nikiondoka kesho jioni see you jumatatuuuuuuu!
(NAAGA NAENDA KIGOMA)
equation ya infidelity SOLVED

Hahahaha! Kwa mahesabu hayo INFIDELITY IS THERE TO STAY! ALWAYS AND FOREVER!
 
Ni hivi:

Jumamosi hii mdogo wangu atakuwa anaoa. Harusi itakuwa na bia za kutosha.

Jumapili mpwa wangu anapata komunyo ya kwanza. Kutakuwa na bia za kufa mtu.

Jumatatu ni mwisho wa mwezi, maripoti kibao.

Kuna mtu yeyote anajua dawa ya kuikabili HANGOVER ili jumatatu nisihatarishe uhai wa kibarua changu? ANGALIZO: Dawa hiyo isihusiane na kuacha kunywa bia siku hizo mbili wala vidonge vitakavyonilazimisha nisinywe bia jumatatu jioni baada ya kazi ngumu.

Wakati nikiwaombeni mniombee jumatatu inikute mzima, :glasses-nerdy:Mimi nawatakieni wikiendi njema.

ndugu yangu, njia yake hiyo ni kuchapa supu ya kongoro three hours kabla ya valeur, na ikifika one hour kabla choma nyama ya ng'ombe au kitimoto na ndizi... washa pombe utakavyo na wanasema "nduru" japo kamooooja tu!!! hupunguza mning'inio wa ziada

ikiwa bado utaamka na hangover, call sick, chapa lapa hadi bar, anza upya, pombe ikichanganya basi changanya kongoro hadi hom, lala!!!

jay four itakua murua il

' hali!!!

KARIBU LEO TUPATE JUISI YA MOLASESS INDOOR PUB...
 
Back
Top Bottom