Msaada kuikuza account yangu ya forex

Msaada kuikuza account yangu ya forex

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Kwa wale wadau wa Forex naombeni maujanja ya kuikuza account yangu ya forex kutoka $250 mpaka $1000 ndani ya mwezi mmoja maana naona kama mimi mwenyewe siwezi.

Nina miezi mitatu sasa natrade lakini account haikui kabisa kwani naweza kupata $40 leo kesho nikapoteza $60, nimejaribu kukomaa na pair mbili tu yani EURUSD & USDJPY kwani nimeona angalau zenyewe hazinipigishi sana loss kwa kuwa zinatabirika.

Kuhusu uelewa wangu kwenye hizi issue za forex ni wa kiwango cha kati ila bado najifunza vitu vingine mdogo mdogo.
 
Dola 750 ndani ya mwezi kwa mtaji wa 250$ ni uongo unaowezekana,labda utafute ushauri kwa ref wayne au Sindile shezi,ila kwa traders wa mitaji ya kibongo sijui kama inawezekana! Labda kwa IQ option

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanakuja wataalam.....
Nisaidie uwatag hao wataalam basi wanipatie maujanja maana nina wasiwasi corona inaweza kuathiri biashara yangu ya umachinga hivyo nataka nijikite kwenye forex
 
Dola 750 ndani ya mwezi kwa mtaji wa 250$ ni uongo unaowezekana,labda utafute ushauri kwa ref wayne au Sindile shezi,ila kwa traders wa mitaji ya kibongo sijui kama inawezekana! Labda kwa IQ option

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kumbe haiwezekani na labda kwa uelewa wako mkuu natakiwa kuwaza kiasi gani kwa mwezi kwa huo mtaji wa $250
 
Dola 750 ndani ya mwezi kwa mtaji wa 250$ ni uongo unaowezekana,labda utafute ushauri kwa ref wayne au Sindile shezi,ila kwa traders wa mitaji ya kibongo sijui kama inawezekana! Labda kwa IQ option

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kama ulitenga mwaka hadi miaka ya kusoma ukaielewa FX kisha ukatenga miezi 6 na zaidi ya ku trade na demo+low loss accounts (cent accounts) kisha ukapata uzoefu wa kutosha .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana kama ulitenga mwaka hadi miaka ya kusoma ukaielewa FX kisha ukatenga miezi 6 na zaidi ya kutraed na demo+low loss accounts (cent accounts) kisha ukapata uzoefu wa kutosha .

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijajifunza kwa muda mrefu mkuu lakini naona uelewa wangu umekua kiasi maana angalau sasa nakuwa ninajua ninachokifanya
 
Back
Top Bottom