heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Unatumia broker gani nichek nikusaidieHellow wakuu. Je, kuna namna naweza wekeza hela yangu, mtu akatrade tukagawana faida?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatumia broker gani nichek nikusaidieHellow wakuu. Je, kuna namna naweza wekeza hela yangu, mtu akatrade tukagawana faida?
Ukitoboa ufike 1000usd ume win hapo ni wewe tu sasa.Kwa wale wadau wa Forex naombeni maujanja ya kuikuza account yangu ya forex kutoka $250 mpaka $1000 ndani ya mwezi mmoja maana naona kama mimi mwenyewe siwezi.
Nina miezi mitatu sasa natrade lakini account haikui kabisa kwani naweza kupata $40 leo kesho nikapoteza $60, nimejaribu kukomaa na pair mbili tu yani EURUSD & USDJPY kwani nimeona angalau zenyewe hazinipigishi sana loss kwa kuwa zinatabirika.
Kuhusu uelewa wangu kwenye hizi issue za forex ni wa kiwango cha kati ila bado najifunza vitu vingine mdogo mdogo.
Sina broker na wala sijawahi kutrade.Unatumia broker gani nichek nikusaidie
Nichek whatsapp 0688734428.Sina broker na wala sijawahi kutrade.
Nampataje sasa. Shida ndio iko hapo.Ndio inawezekana ukipata mtu muaminifu na anayefahamu namna ya ku trade
Price action tamu sana ukiielewa mwenyewe naikubali na ndio naishi nayo kwasasa na kuna jamaa Youtube anaitwa RocksFx anatoa contents za maana sana.Forex ni game ya kuRisk + Knowledge. Tafuta strategy yako mwenyewe ambayo ita work kwako. Strategy inayofanya kazi kwa mtu mwingine inaweza isifanye kazi kwako kwa sababu Forex inahusisha psychology ya hela ambayo tunatofautina.....na ukiipata hyo strategy ukipata loss siku moja usihame kuhangaika kutafuta
Mfano mimi natumia pure Price Action
1. Chart patterns
2. Trendline, Resistance & Support
3. Breakoutand Retest
4. Fibonacci retracements
5. Money management
High risk, high returns, ujue pa kuingilia, na pa kutokea na uwe na strategy yako mwenyewe... Hamna holy graily ya Forex ndo mana ww unaweza ukasell GU na mimi nka Buy, wote tukapata profit kutokana na ulipoingilia na ulipotokea.
View attachment 1547938View attachment 1547939View attachment 1547941
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuza $10 to $2500 within three weeks najua huamini ila its very possible..