Nisaidie uwatag hao wataalam basi wanipatie maujanja maana nina wasiwasi corona inaweza kuathiri biashara yangu ya umachinga hivyo nataka nijikite kwenye forexWanakuja wataalam.....
Kwahiyo kumbe haiwezekani na labda kwa uelewa wako mkuu natakiwa kuwaza kiasi gani kwa mwezi kwa huo mtaji wa $250Dola 750 ndani ya mwezi kwa mtaji wa 250$ ni uongo unaowezekana,labda utafute ushauri kwa ref wayne au Sindile shezi,ila kwa traders wa mitaji ya kibongo sijui kama inawezekana! Labda kwa IQ option
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu siku hizi ameshajitoa humu jf halafu ni bonge la billionaire
nilikuza from 13usd to 1800usd kwa kutrade vix 75Dola 750 ndani ya mwezi kwa mtaji wa 250$ ni uongo unaowezekana,labda utafute ushauri kwa ref wayne au Sindile shezi,ila kwa traders wa mitaji ya kibongo sijui kama inawezekana! Labda kwa IQ option
Sent using Jamii Forums mobile app
So sad kuondoka humu. Namuona Instagram yuko vizuriHuyu siku hizi ameshajitoa humu jf halafu ni bonge la billionaire
Nikifanya hivi naweza kufikia malengo mkuu1.analysis.
2.strategy.
3.concetrate on single pair.
4.open more than one position on same pair after comfirmation.
5.pay more attention on stop losses .
6.Do not use higher lot sizes .
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kama ulitenga mwaka hadi miaka ya kusoma ukaielewa FX kisha ukatenga miezi 6 na zaidi ya ku trade na demo+low loss accounts (cent accounts) kisha ukapata uzoefu wa kutosha .Dola 750 ndani ya mwezi kwa mtaji wa 250$ ni uongo unaowezekana,labda utafute ushauri kwa ref wayne au Sindile shezi,ila kwa traders wa mitaji ya kibongo sijui kama inawezekana! Labda kwa IQ option
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila alijiongeza kutoka humu maana kila kukicha anavuna followers wapya kwenye Instagram page yake halafu kule ukimzingua kidogo tu anakublock
Hizo hapo zitakusaidia ww kupiga pips nyingi huku uki lose chache. So siwezi kukupa moyo 100% kwamba utapata kwa 7babu kila mtu ana tolerance yake .Nikifanya hivi naweza kufikia malengo mkuu
Sijajifunza kwa muda mrefu mkuu lakini naona uelewa wangu umekua kiasi maana angalau sasa nakuwa ninajua ninachokifanyaInawezekana kama ulitenga mwaka hadi miaka ya kusoma ukaielewa FX kisha ukatenga miezi 6 na zaidi ya kutraed na demo+low loss accounts (cent accounts) kisha ukapata uzoefu wa kutosha .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo namba 3 na 4 ndiyo ujanja wanaotumia akina Ontario na matrader wa south Afrika kuwa millionea!1.analysis.
2.strategy.
3.concetrate on single pair.
4.open more than one position on same pair after comfirmation.
5.pay more attention on stop losses .
6.Do not use higher lot sizes .
Sent using Jamii Forums mobile app
yote hayo anakuambia au ndio weweIla alijiongeza kutoka humu maana kila kukicha anavuna followers wapya kwenye Instagram page yake halafu kule ukimzingua kidogo tu anakublock
Basi ngoja na mimi nizijaribuHiyo namba 3 na 4 ndiyo ujanja wanaotumia akina Ontario na matrader wa south Afrika kuwa millionea!