JipuKubwa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2013
- 2,341
- 2,390
Ndugu wanjamvi, naomba msaada wa kisheria juu ya mashtaka aliyofunguliwa rafiki yangu na ofisi ya TSD, MASHTAKA ni haya; 1;kuvunja kanuni za utumishi wa umma kwa kusema serikali imeoza.
2;Kumdharau mkuu wa wilaya, kwa sababu hayo maneno yalisemwa kwenye kikao na mwenyekiti alikuwa ni mkuu wa wilaya. Hii na kwa mujibu wa hati ya mashtaka. Naomba kwa mwenye ujuzi atusaidie.
2;Kumdharau mkuu wa wilaya, kwa sababu hayo maneno yalisemwa kwenye kikao na mwenyekiti alikuwa ni mkuu wa wilaya. Hii na kwa mujibu wa hati ya mashtaka. Naomba kwa mwenye ujuzi atusaidie.