Msaada kujiunga na chuo

makogoto

Member
Joined
Sep 16, 2014
Posts
32
Reaction score
0
Wanajamvi naomba kufahamu kama kuna uwezekano wa kujiunga na chuo (Ngazi ya cheti ugavi) Mimi ni muajiriwa kwa mda mrefu kidogo serikalini(Elimu yangu ni form 4,dvsn 4 ya 32 mwaka 2005 nimefauru D 3 masomo ya GEOGRAPH,KISWAHILI, CIVICS) Nisaidieni.
 
Wanajamvi naomba kufahamu kama kuna uwezekano wa kujiunga na chuo (Ngazi ya cheti ugavi) Mimi ni muajiriwa kwa mda mrefu kidogo serikalini(Elimu yangu ni form 4,dvsn 4 ya 32 mwaka 2005 nimefauru D 3 masomo ya GEOGRAPH,KISWAHILI, CIVICS) Nisaidieni.

vyuo vipo utapata,vya private ni rahisi zaidi.ELIMU ni pesa tu.
 
wanajamii naomba kuuliza nilisoma diploma education sayansi PG. ufaulu wangu n GPA 2.9. NAWEZA KUJIUNGA NA CHUO KIKUU KUSOMA EDUCATION PHYSICS MAJOR NA GEOG MINOR. ILA ADVANCE PHYSICS NNA S.
 
vyuo vipo utapata,vya private ni rahisi zaidi.ELIMU ni pesa tu.

Hivi ni kama chuo gani cha private naweza kupata(certificate course ya ugavi na manunuzi) kwa ufahuru huo nisaidie ndugu au kama kuna njia nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…