Msaada kujua gharama ya kufyatua tofali 4,800

Tunauza mbao kwa bei ya jumla.Njoo ofisini kwetu TEGETA tukuhudumie kwa gharama nafuu sana:-
2*2 fut12=2500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=4500
1*8 fut12=8000
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=13000
1*10fut 18 fisher board( treated)=15500
2*4 fut18(treated)=9500
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0687371138
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu
 
Ni vema tujifunze kufuata viwango (sisi sio wa kwanza kufyatua tofali, walishafyatuaga wenzetu huko miaka ya nyuma) ndio maana ikaonekana ni vema kuweka viwango katika kila kitu kinachofanyika...
Uko sahihi kabisa na hiyo kwa cement namba 42.5 angalau utoe tofali 35 zenye ubora wa hali ya juu kabisa ila kwa sement namba 32.5 angalau tofali 25 hapo utapata tofali zenye ubora wa hali ya juu na zisizo pukutika tena hasa kama unajenga nyumba yako binafsi usijibailie ili upate nyumba imara kabisa
 
Mende ndio nini? Ufafanuzi
 
Naombeni ujazo wa haya malori kwa anayejua tafadhali:
Mende, Mbaula, Faw, Fuso, Bajaji
 
Naombeni ujazo wa haya malori kwa anayejua tafadhali:
Mende, Mbaula, Faw, Fuso, Bajaji
Mende kuna yenye 17m3 na 20m3
FAW kuna yenye 20m3 na 15m3 ambazo ndio nyingi
Ila gari zote itategemea na ujazaji, wengine hawajazi kama ni mchanga unapungua na kama unafanya biashara ya tofali utapata shot kidogo
 
Reactions: JMF
Kwa gari ya 4.7qm kila trip mifuko7, na kila mfuko unatoa tofali 40 za nchi5
 
Kwa gari ya 4.7qm kila trip mifuko7, na kila mfuko unatoa tofali 40 za nchi5
Hivi mkuu tofali moja hutumia mchanga chepe ngapi na cement chepe ngapi? Au kwa kutumia vile vindoo vidogo unapima kiasi gani?
 
Hivi mkuu tofali moja hutumia mchanga chepe ngapi na cement chepe ngapi? Au kwa kutumia vile vindoo vidogo unapima kiasi gani?
Chukua 40tofali gawanya kwa 50kg utapata jibu.
Then pima chepe moja inabeba cement kilo ngapi.
Do the same kwa mchanga pia.
Maana mfuko mmoja(50kg) unatoa tofali 40 za 5'.
 
Duh hatari mfuko mmoja tofali 45...hilo tofali au mchanga
hapa hata mimi nimeshangaa na hiyo cement ya kutoa hizo tofauli 45 ni cement gani? maana hata 42.5 yenyewe ukitoa zaid ya tofali 35 tu ujue hizo tofali hata kuku akidonoa anaingia ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…