msaada kujua mafundi stadi wa simu

Paul S.S

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2009
Posts
6,407
Reaction score
3,260
Wadau msaada wenu tafadhali simu yangu T-Mobile MDA Vario 2 imepoteza network baada ya kuifanyia hard reset, hakuna kupiga wala kupokea simu,hakuna net wala massege ya aina yoyote,
baada ya ku google sana inaonekana initatizo linalotaka mtaalamu kulitatua ,maana imekufa radio rom,
Kama ikitokea mwenye ujuzi nalo ntashukuru, lakini kikubwa ni kutaka kujua ni duka gani au mafundi gani hapa Dar wenye ujuzi na utalaamu wa kutengeneza simu complicated, nimeambiwa kuna duka somewhere at Samora lakini sijalipata vizuri, mafundi wa mtaani wengi wamechemsha
Your assistance will be highly appreciated
 
tatizo lako lilikwisha au bado.?radio rom haiwezi kufa kwa hard reset.
 
Simu hazitengenezwi mwana siku hizi! La utakuwa unashinda kwa fundi simu. simply buy anaza
 
tatizo lako lilikwisha au bado.?radio rom haiwezi kufa kwa hard reset.

Mkuu tatizo bado, ilianza kustuck nikaona ni hard reset, baada ya hapo ikawa hivyo. Na nikiingia ktk device information nakuta kuna rom version na date yake,lakini radio rom versiom na protocol viko nil.
Na ninapowasha inatoke no gsm
Nimejaribu kugoogle sana nikapata site moja xda-developer.com nikagundua radio rom imecorrupt hivyo natakiwa niifanyie full rom upgrade au radio only upgration, na ilikukamilisha hilo zoezi all u need is computer, usb cable,some software to download na utaalam, ninachokosa mimi ni utaalamu
kama upo vizuri ntashukuru ukinipa mwongozo,na ukiweza tembelea hiyo forum na usearch "no gsm" au "corrupt radio"for htc hermes or herm300 ni majina ya hiyo simu
nilijaribu nikashindwa simu ikastuc kabisa hata hivyo kwa msaada wa memba nikairudisha kawaida lakini no calls
naomba tembelea hapa http://forum.xda-developers.com/wiki/index.php?title=HTC_Hermes kisha nenda upgrading for beginners na hermers upgrading guide
natumai kama nimjuzi kidogo wa pc utanisaidia kunyumbulisha inavyotakiwa
thanx in advance for your time
 
Simu hazitengenezwi mwana siku hizi! La utakuwa unashinda kwa fundi simu. simply buy anaza

mkuu im talking about pocket pc, ingekuwa hivi vimeo vyetu sawa,
na tatizo lake software akipatikana mtaalamu ana upgrade mchezo kwisha
 

mkuu tatizo lako ni dogo mana tayari unamajibu yote kama umeshadounloud file inamana umekwama namna ya kuingiza kwenye flash mode ili uweze upgrade naweza kukusaidia kwa hilo mkuu ni pm
 
Huyo mtaalamu aliyepo Samora nadhani unamsema Bwana Sele kama sijakosea he is a good technician that i trust here in town,
 
Sele hajui nayeye upeleka kwa mtaalamu wao anaitwa Mwesiga yupo samora jengo emprees juu! Mtafute kwa hii no:0754501807
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…