Msaada kujua mfumo wa serikali unaotumiwa na serikali kuchagua waajiriwa

Msaada kujua mfumo wa serikali unaotumiwa na serikali kuchagua waajiriwa

professional ethics

Senior Member
Joined
Dec 24, 2023
Posts
108
Reaction score
350
Wakuu habari,

Naomba msaada kwa yeyote anae jua ni mfumo upi( software program) inayotumiwa na serikali kuchagua majina ya watu kwa ajira baada ya graduate kufanya maombi pale nafasi zinapo tangwaza.

Naombeni hivi sasa, babu yangu wa Tanga anahitaji afanye mambo kidogo( system manipulation).
 
Back
Top Bottom