Ngamba
JF-Expert Member
- Jun 6, 2013
- 750
- 151
Naomba msaada wa haraka, kuku wangu wawili tangu jana naona wamezubaaa, hawali hata kunywa maji
Wanaonekana kuzubaa na sio wachangaanfu kama kawaida yao, huu ni ungonjwa gani?? Na niwatibu na dawa gani na husababishwa na nini
Kwa sas nimewatenga nawezao
Wanaonekana kuzubaa na sio wachangaanfu kama kawaida yao, huu ni ungonjwa gani?? Na niwatibu na dawa gani na husababishwa na nini
Kwa sas nimewatenga nawezao