Msaada: Kuku wangu yupo hoi

Msaada: Kuku wangu yupo hoi

Hii hali jamani inatibiwa vipi au ndo tumchinje tu maana huyu tetea alikuwa anataga vizur ila ghafla nashangaa hiyo sijui ndo uzazi wake hata sielewi imetoka nje...
IMG-20210209-WA0010.jpg
IMG-20210209-WA0008.jpg
IMG-20210209-WA0011.jpg
IMG-20210209-WA0004.jpg
 
Hii hali jamani inatibiwa vipi au ndo tumchinje tu maana huyu tetea alikuwa anataga vizur ila ghafla nashangaa hiyo sijui ndo uzazi wake hata sielewi imetoka nje...View attachment 1698594View attachment 1698596View attachment 1698597View attachment 1698600
Hilo tatizo linaitwa vent prolapse
Inatokana na kuku kukosa madini ya calcium
Pia amewahi kutaga kabla ya umri wake

Ushauri mchinje tu ...pia zingatia uwepo wa madini ya calcium na phosphorous kwenye chakula chao hasa dagaa, au nunua dcp wawekee kwenye chakula chao
 
Hilo tatizo linaitwa vent prolapse
Inatokana na kuku kukosa madini ya calcium
Pia amewahi kutaga kabla ya umri wake

Ushauri mchinje tu ...pia zingatia uwepo wa madini ya calcium na phosphorous kwenye chakula chao hasa dagaa, au nunua dcp wawekee kwenye chakula chao
Mkuu ahsante kwa ushauri wako ila good news ni kwamba nilipitia googlekujifunza zaidi treatment yake baada ya kujua jina la ugonjwa ( thanks to u). Sasa hivi anaendelea vizur na yuko na afya njema.
 
Back
Top Bottom